Nieleweshe utimamu wa vipimo ulivyoandika hapo huu.2.5L 1JZ I6 au 3.0L 2JZ I6
Pia zilikua rare, 2001-2006 Yota walitengeneza Brevis like 60-70k tu.
Mafuta mkuu, ina consumption mbaya sana. Mfano ya 3L inaenda hadi 6km/LInawezekana mkumbo watu wengi wanalalamika mafuta ila sina uhakika
Msaada 3L ni niniMfano ya 3L inaenda hadi 6km/L
Mkuu nikiwa na 25, unanishauri ni bebe ndinga gani kwa sasa room.Mafuta mkuu, ina consumption mbaya sana. Mfano ya 3L inaenda hadi 6km/L
Kama ndio hivyo basi kazi ipo,,Mafuta mkuu, ina consumption mbaya sana. Mfano ya 3L inaenda hadi 6km/L
Brand na weseIssue ni mafuta au brand? Kwasababu wanadai mafuta bado sijapata jibu
Sasa kwanini hazionekani, waliokuwa nazo waliuza nje ya nchi?Wese!
Maelezo bado hayajatosha haya mboni unaanza kua shallow siku hizi2.5L 1JZ I6 au 3.0L 2JZ I6
Pia zilikua rare, 2001-2006 Yota walitengeneza Brevis like 60-70k tu.