Wataalamu wa Magari tuelezeni kwanini watu wengi wamezikimbia Toyota Brevis, hazipo tena mjini, kulikoni!

Wataalamu wa Magari tuelezeni kwanini watu wengi wamezikimbia Toyota Brevis, hazipo tena mjini, kulikoni!

Ilikuwepo verosa ikak8mbiwa
Mark x yenyewe ishakimbiwa
Crown yenyewe ishaanza kukimbiwa
Magari ni liability siyo asset

Ova
Mimi nadhani tufike sehemu, hii elimu ya Mzungu aliyotuachia tuitafakari upya. Hivi gari unatumia mwenyewe. Inakusaidia kutoka point A kwenda B. Utaitaje liability? Ukiugua au kuuguza usiku, ni hiyo gari itakukimbiza kuokoa uhai. Utaitaje liability?

Ok. Nyumba ni asset. Lakini ukipata dharura, haina msaada. Kitu kinachokusaidia mwenyewe ni asset muhimu. Mwisho wa siku, gari ina wear out, inachoka unauza. Lakini hiyo ni kwa vitu na watu. Hata sisi unafika mda tunachoka, hatuhitajiki tena duniani. Ni kanuni ya maisha.

Mimi nadhani gari ni asset. Tena asset ya maana tuu. Faida zake ni both tangible na intangible.
 
Mimi nadhani tufike sehemu, hii elimu ya Mzungu aliyotuachia tuitafakari upya. Hivi gari unatumia mwenyewe. Inakusaidia kutoka point A kwenda B. Utaitaje liability? Ukiugua au kuuguza usiku, ni hiyo gari itakukimbiza kuokoa uhai. Utaitaje liability?

Ok. Nyumba ni asset. Lakini ukipata dharura, haina msaada. Kitu kinachokusaidia mwenyewe ni asset muhimu. Mwisho wa siku, gari ina wear out, inachoka unauza. Lakini hiyo ni kwa vitu na watu. Hata sisi unafika mda tunachoka, hatuhitajiki tena duniani. Ni kanuni ya maisha.

Mimi nadhani gari ni asset. Tena asset ya maana tuu. Faida zake ni both tangible na intangible.
We nani kakwambia ukipata dharura nyumba haina msaada? Ukiugua unalala kwenye gari?
 
Mimi nadhani tufike sehemu, hii elimu ya Mzungu aliyotuachia tuitafakari upya. Hivi gari unatumia mwenyewe. Inakusaidia kutoka point A kwenda B. Utaitaje liability? Ukiugua au kuuguza usiku, ni hiyo gari itakukimbiza kuokoa uhai. Utaitaje liability?

Ok. Nyumba ni asset. Lakini ukipata dharura, haina msaada. Kitu kinachokusaidia mwenyewe ni asset muhimu. Mwisho wa siku, gari ina wear out, inachoka unauza. Lakini hiyo ni kwa vitu na watu. Hata sisi unafika mda tunachoka, hatuhitajiki tena duniani. Ni kanuni ya maisha.

Mimi nadhani gari ni asset. Tena asset ya maana tuu. Faida zake ni both tangible na intangible.
Kwa zama ya sasa ni mpumbavu pekee atakayebeza umuhimu wa usafiri...kwasasa gari au kipando chochote ni hitaji la msingi
 
Ulaji wake wa mafuta ni mkubwa kiasi gani mpaka utishe nchi nzima ndugu zangu
1 kilometer inakula kiasi gani?
Gari ni Sedan, halina Four wheel, wala siyo off road. Engine kubwa bila sababubza msingi na kiukweli, ukiwa kwenye foleni ulaji wa mafuta ni mkubwa sana, utafikiri tank la mafuta linavuja. Engine cc2500 [2.5] hadi cc 3000[3.0], sawa na Engine ya Harrier, sasa kwa Sedan inakua siyo economical hasa kwa town trips
 
Mimi nadhani tufike sehemu, hii elimu ya Mzungu aliyotuachia tuitafakari upya. Hivi gari unatumia mwenyewe. Inakusaidia kutoka point A kwenda B. Utaitaje liability? Ukiugua au kuuguza usiku, ni hiyo gari itakukimbiza kuokoa uhai. Utaitaje liability?

Ok. Nyumba ni asset. Lakini ukipata dharura, haina msaada. Kitu kinachokusaidia mwenyewe ni asset muhimu. Mwisho wa siku, gari ina wear out, inachoka unauza. Lakini hiyo ni kwa vitu na watu. Hata sisi unafika mda tunachoka, hatuhitajiki tena duniani. Ni kanuni ya maisha.

Mimi nadhani gari ni asset. Tena asset ya maana tuu. Faida zake ni both tangible na intangible.
Maneno ya Asset na Liability yekaa kiuchumi au kibiashara zaidi. Hivyo kwa muktadha huu;
Asset ni kitu chochote kinachokuingizia pesa/mali kwa faida, iwe ni kwa siku, wiki, mwezi au mwaka. Hivyo hata nyumba inaweza kuwa ama Asset au Liability kutegemea na matumizi yake. Kama utakuwa umeipangisha hiyo itakuwa ni Asset. Lakini kama unaishi mwenyewe, hiyo ni Liability, kwa kuwa haikuingizii chochote. Kwa upande wa gari nayo ni hivyo hivyo. Gari ambayo umeikodisha na inakuingizia kipato hiyo ni Asset. Kama ni kwa matumizi yako mwenyewe binafsi, hiyo ni Liability. Wataalamu waatakuja waongezee zaidi.
 
Maneno ya Asset na Liability yekaa kiuchumi au kibiashara zaidi. Hivyo kwa muktadha huu;
Asset ni kitu chochote kinachokuingizia pesa/mali kwa faida, iwe ni kwa siku, wiki, mwezi au mwaka. Hivyo hata nyumba inaweza kuwa ama Asset au Liability kutegemea na matumizi yake. Kama utakuwa umeipangisha hiyo itakuwa ni Asset. Lakini kama unaishi mwenyewe, hiyo ni Liability, kwa kuwa haikuingizii chochote. Kwa upande wa gari nayo ni hivyo hivyo. Gari ambayo umeikodisha na inakuingizia kipato hiyo ni Asset. Kama ni kwa matumizi yako mwenyewe binafsi, hiyo ni Liability. Wataalamu waatakuja waongezee zaidi.
Nyumba ni Asset haiwezi kuwa liability hata kama unaishi mwenyewe, tofauti na gari nyumba ukiishi mwenyewe umepunguza expenses umeokoa hela ya kulipa kodi na haishuki thamani, ila gari ina gharama za uendeshaji mafuta na maintenance mbalimbali kwa gari ambayo ni nzima yenye matumizi madogo ya mafuta Cc 1500 kurudi chini lazima utenge budget ya 300,000 kwaajili ya gari tu, na inashuka thamani kila siku.
 
2km kwa lita!
Labda uwe Bopar ndiyo unaweza kuhimili kishindo hicho!
3L sio lita ya petrol bali engine ya Brevis yenye 3000cc. Brevis ina engine mbili. Kuna 1JZ yenye 2500cc na 2JZ yenye 3000cc. Engine ya 2500cc hufupishwa kwa kuandikwa 2.5L na engine ya 3000cc hufupishwa kwa kuandikwa 3.0L. Mdau anamaanisha kwamba Brevis yenye engine ya 2JZ ambayo ina 3000cc au 3.0L inaweza kutumia 1L ya petrol kwa umbali wa 6km
 
3L sio lita ya petrol bali engine ya Brevis yenye 3000cc. Brevis ina engine mbili. Kuna 1JZ yenye 2500cc na 2JZ yenye 3000cc. Engine ya 2500cc hufupishwa kwa kuandikwa 2.5L na engine ya 3000cc hufupishwa kwa kuandikwa 3.0L. Mdau anamaanisha kwamba Brevis yenye engine ya 2JZ ambayo ina 3000cc au 3.0L inaweza kutumia 1L ya petrol kwa umbali wa 6km
Hapo nimeelewa vizuri mkuu.
 
Hiyo ndo gari pekee unayoweza kukuta ni namba E alafu mmiliki wake anatafuta mteja hata wa million 4, na bado watu wanaikimbia wanaenda kununua RunX,Spacio,Ist na Rumion
Duh,hapo kama una D2 Lazima ushtuke mzee
 
Maneno ya Asset na Liability yekaa kiuchumi au kibiashara zaidi. Hivyo kwa muktadha huu;
Asset ni kitu chochote kinachokuingizia pesa/mali kwa faida, iwe ni kwa siku, wiki, mwezi au mwaka. Hivyo hata nyumba inaweza kuwa ama Asset au Liability kutegemea na matumizi yake. Kama utakuwa umeipangisha hiyo itakuwa ni Asset. Lakini kama unaishi mwenyewe, hiyo ni Liability, kwa kuwa haikuingizii chochote. Kwa upande wa gari nayo ni hivyo hivyo. Gari ambayo umeikodisha na inakuingizia kipato hiyo ni Asset. Kama ni kwa matumizi yako mwenyewe binafsi, hiyo ni Liability. Wataalamu waatakuja waongezee zaidi.
Ukipanga hiyo kodi unayolipa ni Asset au Liability?
 
Back
Top Bottom