Wataalamu wa Magari tuelezeni kwanini watu wengi wamezikimbia Toyota Brevis, hazipo tena mjini, kulikoni!

Wataalamu wa Magari tuelezeni kwanini watu wengi wamezikimbia Toyota Brevis, hazipo tena mjini, kulikoni!

View attachment 3234527

Wataalamu wa Magari tuelezeni kwanini watu wengi wamezikimbia Toyota Brevis, hazipo tena mjini, kulikoni!

Toyota Brevis zilikuja kwa kasi kubwa sana lakini jambo la kunishangaza wamiliki wameziuza haraka sana na hakuna watu wenye mvuto nazo, mji unao ongoza kuziondoa ni Dar es Salaam hivi sasa zinaonekana kwa bahati sana

Ni nini tatizo lililoikumba Toyota Brevis walimwengu?

Kama zimepotea nchini je wameziuza nje ya nchi?
 
Zinauziwa huku huku ndani ila wajanja hawanunui kwahiyo mjinga akishkishwa siku akipata akili akitaka na yeye kuliuza anakosa wateja anaishia kulipaki
Kwahiyo inabidi uuze kama tapeli? 🤣
 
Back
Top Bottom