View attachment 3234527
Wataalamu wa Magari tuelezeni kwanini watu wengi wamezikimbia Toyota Brevis, hazipo tena mjini, kulikoni!
Toyota Brevis zilikuja kwa kasi kubwa sana lakini jambo la kunishangaza wamiliki wameziuza haraka sana na hakuna watu wenye mvuto nazo, mji unao ongoza kuziondoa ni Dar es Salaam hivi sasa zinaonekana kwa bahati sana
Ni nini tatizo lililoikumba Toyota Brevis walimwengu?
ZimepoteaSasa kwanini hazionekani, waliokuwa nazo waliuza nje ya nchi?
Ndio nilikuwa nawaza hiki kitu, au zimekatwa chuma chakavu😃Sasa kwanini hazionekani, waliokuwa nazo waliuza nje ya nchi?
Usisahau Verossa ilivyosumbua mtaaniMark x kutoka mln 30
Leo hii unaipata mpk kwa mln 5
😄
Ova
Ndani ya NchiKama zimepotea nchini je wameziuza nje ya nchi ?
Nunua premioMkuu nikiwa na 25, unanishauri ni bebe ndinga gani kwa sasa room.
Sijaulizwa mimi ila nasema "MAZDA ATENZA"Mkuu nikiwa na 25, unanishauri ni bebe ndinga gani kwa sasa room.
Nilitaka ni ku tag kumbe ushafika😄2.5L 1JZ I6 au 3.0L 2JZ I6
Pia zilikua rare, 2001-2006 Yota walitengeneza Brevis like 60-70k tu.
Lita 3Msaada 3L ni nini
Zinauziwa huku huku ndani ila wajanja hawanunui kwahiyo mjinga akishkishwa siku akipata akili akitaka na yeye kuliuza anakosa wateja anaishia kulipakiKama zimepotea nchini je wameziuza nje ya nchi ?
Mkuu, nafikiri hapa umeweka bei ya Japan ya nyakati hizo na bei ya used bongo ya nyakati hizi, kitu ambacho si sahihi kwa mawazo yanguMark x kutoka mln 30
Leo hii unaipata mpk kwa mln 5
😄
Ova
PassoMkuu nikiwa na 25, unanishauri ni bebe ndinga gani kwa sasa room.
🙏Lita 3