Mnachihanguuu
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 4,385
- 6,443
Mtaji kama kiasi ganiMtaji,utaalamu na managment nzuri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtaji kama kiasi ganiMtaji,utaalamu na managment nzuri.
Kwasisi wafanyabiashara zipo biashara zenye uhakika wa mafanikio...kwa comment uliyoweka inaonyesha kabisa haujawahi kufanya biashara yeyoteKuna biashara yenye uhakika wa mafanikio 100%? Kama ipo bora ufanye hiyo.
Uchimbaji ni kama biashara zingine zote basics ni zile zile hakuna kitu kipya. Uwe na eneo lenye deposits ya hayo madini, vibali, vifaa, utaalam na mtaji. No more, no less.
Kwasisi wafanyabiashara zipo biashara zenye uhakika wa mafanikio...kwa comment uliyoweka inaonyesha kabisa haujawahi kufanya biashara yeyote
Mkuu Dexta,Mkuu unataka kufahamu kuhusu nn? Bei ya crusher au unataka kujua kama crusher mashines zinatengenezwa hapa hapa bongo?
Nyooka vizuri tukusaidie.
Mfano biashara gani?Kwasisi wafanyabiashara zipo biashara zenye uhakika wa mafanikio...kwa comment uliyoweka inaonyesha kabisa haujawahi kufanya biashara yeyote
Crusher/karasha zinaanzia 8m-15m kutegemeana na ubora wa plates zake. Si vyema sana kuanza hizi harakati kwa kununua hizi Crusher bila ya kuwa na uhakika wa kupata mawe. Na siyo mawe/ore tu bali mawe(ore) inayosoma vizuri. Naposema kusoma namaanisha kiwango cha Dhahabu(PPM) kilichomo kwenye mawe hayo.
Ni bora zaidi kabla hujafungua mwalo (Prossesing plant) huwe na shimo au mashimo ya uhakika ya kukupatia mzigo yaani ore. Mashimo aya yanaweza kuwa yako au ya watu ukaingia nao share.
Mtaji wa kuanza nao! Inategemea unataka nini lakin tambua Uchimbaji ni gharama sana haswa vifaa vyake. Mfano ili Upate Mwalo wa kawaida unahitaji mashine kama Jaw crusher(up to 9m), Ball mill(karasha) 9m, Chanzo cha maji hili ni hitaji la kila siku na la muhimu kwenye kuchenjua Dhahabu, Makaro kuyachimba na kuyajengea angalau 2m, vitendea kazi vingine angalau 4m, Kama huna site kukodi eneo angalau 2m na mahitaji Mengineyo kama chakula, mananda ya kuishi na usafiri.
Pamoja na gharama hizo unahitaji pesa ya kudhamini wachimbaji ili walete mawe kwako hii ni kama huna nguvu ya kutosha ya kuchimba mwenyewe angalau uwe na million 20 ya ziada. Kama unataka kuchimba mwenyewe hapo ni jambo jingine maama gharama zitaruka mara dufu. Kwa ujumla ukiwa angalau na 70m kwa hali ya sasa ilivyo na ukawa site nzuri yenye maduara mengi yenye mzigo mzuri unaweza fanya kitu kwa kipindi kisipungua miezi 5.
Mwisho! Vibari ili siyo tatizo haswa kama umelenga mwalo tu, inategemea unachimba maeneo gani ambapo kuna baadhi ya maeneo wanakuhitaji usajili mwalo wako kwenye chama cha wachimbaji wa eneo husika
Angalizo! ukisikia mtu anakwambia kapoteza Million 100 kwenye uchimbaji tambua nusu ya iyo pesa ndo imeingia kazini zingine zimeliwa na matapeli
Ila we jamaa acha kuvunja mioyo ya wapambanaji unaushahidi?Unakaribia kupigwa! Kwenye madini Kuna watu waliwekeza billion 5 zote "zikachumila".
Biashara ya madini na uchimbaji imetawaliwa na ushirikina, kutapeluwa na hata kupotezwa ukizingua au ukibania.
Bora fungua hardware
Biashara ya madini ni probability labda madini ya matani au kilo ndo ya uhakika na sio gemstone au dhahabu huku Pana mengi ya utaalamu,technology na sirihivi ukiwa na vitu gani kwenye uchimbaji madini unakuwa na uhakika wa kupata mafanikio?
Hakuna biashara hio isiyo na hasara labda ya ufisadi upate mrija WA kula Kodi zetuKwasisi wafanyabiashara zipo biashara zenye uhakika wa mafanikio...kwa comment uliyoweka inaonyesha kabisa haujawahi kufanya biashara yeyote
Kwa comment hii uliyoweka inaonyesha huijui biashara ya dhahabuKwasisi wafanyabiashara zipo biashara zenye uhakika wa mafanikio...kwa comment uliyoweka inaonyesha kabisa haujawahi kufanya biashara yeyote
✅👏👏👏🙏Kuna biashara yenye uhakika wa mafanikio 100%? Kama ipo bora ufanye hiyo.
Uchimbaji ni kama biashara zingine zote basics ni zile zile hakuna kitu kipya. Uwe na eneo lenye deposits ya hayo madini, vibali, vifaa, utaalam na mtaji. No more, no less.
Mimi sijawahi kufanya biashara ya dhahabu ndio maana nikaulizia hivyoKwa comment hii uliyoweka inaonyesha huijui biashara ya dhahabu
Biashara ya chainsaw,duka kubwa la hardware na mashine ya kusagaMfano biashara gani?
Hiyo biashara haina hasara?Biashara ya chainsaw,duka kubwa la hardware na mashine ya kusaga
Biashara ya chainsaw,duka kubwa la hardware na mashine ya kusaga