Sasa kwenye draft s kuna master pia. Wewe umejifunza jana leo unataka kuongea kama fundi. Tuachie wenye michezo yao. Kwa taarifa yako nilishashinda mil 2 kwa ajili ya draft achilia mbali mbuzi na kuku.Nikisema umekurupuka nitakuwa nakuonea?
Wewe ushaambiwa mwenye zamu ya kucheza ni mwenye nyekundu halafu unasema inategemea ni zamu ya nani kuchezaSasa kwenye draft s kuna master pia. Wewe umejifunza jana leo unataka kuongea kama fundi. Tuachie wenye michezo yao. Kwa taarifa yako nilishashinda mil 2 kwa ajili ya draft achilia mbali mbuzi na kuku.
kuna mapanyabuku ata hayajui draft...apo ni goli la kawaida la kete tatu au nyekundu asifike kingi na afungwe pia,,,nyekundu akiwa pukapuka asiteme ya mbele anakufa supa...mi mcheza kamari wa madude aya
Mkuu hapo naona Kama mwenye njano anashinda au...........[emoji4][emoji4][emoji4] View attachment 996223
[emoji16][emoji16][emoji16]Huu uzi kama nilishawahi kukoment ila siioni comment yenyewe. Atakayeiona anitag
Siyo super.Hiyo super kabisa kama zamu ya nyekundu kucheza
Tena akiuponza kwa kucheza ya nyuma
Anatelemka na nyekundu ile kule nyuma kwa kunyoosha down, blue hata afanye nini , ni drawNimekuta watu wanacheza draft na wanabishana kuwa hilo ni supa.Nikaamua kupiga picha hiyo niwaulize je hili ni supa au sio supa?
ZAMU YA MWENYE NYEKUNDU
View attachment 995749
Mchezo gani , France au british ? France ni sale british ni Super anapigwa mwekunduNimekuta watu wanacheza draft na wanabishana kuwa hilo ni supa.Nikaamua kupiga picha hiyo niwaulize je hili ni supa au sio supa?
ZAMU YA MWENYE NYEKUNDU
View attachment 995749
Akitokea na nyuma baada ya kutema, mwenye red anakata, kisha mwenye blue popote atakapocheza mwenye red anaweka kete chumba Cha kushoto kwake, game imeisha, supa kitumbo.Siyo super.
Anatema kete ya mbele kwa upande wa meja ndogo.
Kisha anatoka na ile nyekundu ya kule nyuma.
Mwenye bluu akicheza kete iliyokatwa ili aende king ni atashinda bila mwenye nyekundu kuiona king.
Akileta mapepe kucheza hii ya nyuma kabisa atashinda kwa kete 3.
Mh mwenye red anakata vipi?Akitokea na nyuma baada ya kutema, mwenye red anakata, kisha mwenye blue popote atakapocheza mwenye red anaweka kete chumba Cha kushoto kwake, game imeisha, supa kitumbo.
Nimechanganya rangi, mwenye blue ndo anaikata hiyo red ya mbele kabisa, kisha blue akicheza, red anasogeza kete yake upande wa kushoto game inaishia hapo.Mh mwenye red anakata vipi?