Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Profesa Jitu Kali Jitu la Mabao nasema hilo ni supa.
Hilo ni supa.Tena huyo wa blue asipoangalia game inakuwa tight kwake. Ila wote wakisogeza kete vizuri linakuwa sare. Maana wote wana free steps 3.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo ni supa.
Nyekundu anacheza kete ya nyuma.
Wa blue anakata. Anamngoja nyekundu acheze popote.
Halafu anambana.
Ya meja itachezwa.Je wa nyekundu akianza kwa kuitema hiyo ya kukatwa halafu akatoka na ile ya nyuma?
Ya meja itachezwa.
Ukicheza ya meja anakupisha kwa kuja kuzipanga pembeni. Ukivuta ya chini huku anakuja na ile iliyokuwa inalindwa na meja.
Akikupisha ya meja inaifuata nyekundu iliyokua nyuma
Hii ya rangi nyekundu iliyokua inazuiwa na ya meja ikianza kutembea unaiacha itakuja kuzuiwa na hii kete ya blue ya chini hukuSasa utamzuia kwenda king?
Hebu iangalie vizuri uone kama haiendi king.
Hii ya rangi nyekundu iliyokua inazuiwa na ya meja ikianza kutembea unaiacha itakuja kuzuiwa na hii kete ya blue ya chini huku
Sawa By Profesa Jitu Kali Jitu La MabaoBaadae nikitulia nitakuchorea hatua kwa hatua.
Nikisema umekurupuka nitakuwa nakuonea?Inategemea ilikuwa zamu ya nani kucheza ila ni droo. Kama mimi namfunga kabisa huyo mwenye za blue
Hapo sawa mkuu. Kwa move hiyo lazima goli.Ile ya nyuma ikija moja kwa moja itafika kwenye main road na hapo watapeana migongo na kete inayoelekea king. Na ile inayoelekea king ndiyo itakuwa imeanza kufika kwenye main.
Unachofanya unaigawa hii ya main kwa ya main, halafu utacheza ile inayoenda king kuelekea main pia. Mpaka unafika king atakuwa bado anambwela huku chini, unaanza kula mafao kwà kikokotoo cha zamani.
Jaribu kuangalia huu mchoro hapo chini na uupigie hesabu upya.
View attachment 996048