Wataalamu wa Red Mercury, nijuzeni hili

Wataalamu wa Red Mercury, nijuzeni hili

The only

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2011
Posts
10,805
Reaction score
14,181
Kuna mwanakijiji kaniletea jiwe ni la chuma dogo sana hata kiganja hakijai ila nimelipima lina kilo 2.3 kiukweli mimi sjui mambo ya red mercury nasikiaga tu ila hili jiwe wanadai ndani lina red mercury,hivi hii imekaaje ?Ila nikiligonga linalia kama chuma.
 

Attachments

  • 1431975386777.jpg
    1431975386777.jpg
    46.9 KB · Views: 340
  • 1431975446438.jpg
    1431975446438.jpg
    50.5 KB · Views: 331
Hakuna biashara ya red mercury duniani. Iliwahi patikana mercury nyekundu kiasi kidogo africa kusini zamani ila hamna nyingine imewahi kupatikana. Hamna hiyo biashara.
 
Hakuna biashara ya red mercury duniani. Iliwahi patikana mercury nyekundu kiasi kidogo africa kusini zamani ila hamna nyingine imewahi kupatikana. Hamna hiyo biashara.
Hizi ni mbinu tu za matapel..watu wamepigwa sana
 
Mbona mleta mada kalimwa ban!? Au kanukuu picha za watu anadai zake!?
 
Kuna mwanakijiji kaniletea jiwe ni la chuma dogo sana hata kiganja hakijai ila nimelipima lina kilo 2.3 kiukweli mimi sjui mambo ya red mercury nasikiaga tu ila hili jiwe wanadai ndani lina red mercury,hivi hii imekaaje ?Ila nikiligonga linalia kama chuma.
Mbona lina umbo zuri kiasi hicho
 
Kuwa MAKINI inaweza kuwa MAKINIKIA.........
[HASHTAG]#TumeMakinikia[/HASHTAG]
 
Mercury ambayo ipo ni ile ambayo ni industrial Ya kukamatia dhahabu.....hyo ukitaka hata kg 500 unapata,lkn hyo mercury Ya nwamba sjui ni blah blah tu style Ya wapigajj kuwapiga watu hela.

OvA
 
Utapeli upo tu hata kama ni biashara ya mahindi. Jambo la msingi kuwa smart kwa kila jambo
 
Kuna mwanakijiji kaniletea jiwe ni la chuma dogo sana hata kiganja hakijai ila nimelipima lina kilo 2.3 kiukweli mimi sjui mambo ya red mercury nasikiaga tu ila hili jiwe wanadai ndani lina red mercury,hivi hii imekaaje ?Ila nikiligonga linalia kama chuma.

Hayo ni Magoroli (Dungu) yanayokuwa ndani ya BallMill, ile mitambo ya kusagia mawe Migodini au kwenye viwanda vya Cement
 
Back
Top Bottom