Wataalamu wa umeme wa viwandani, wanahitajika haraka

Wataalamu wa umeme wa viwandani, wanahitajika haraka

Am sorry,mie nimefanya funny tu jinsi wachina wanavyoongeaga ,Wala Sina jingine pia sikujua Kama Ni wewe uliyeandika mkuu. Am very sorry,I was just making the fun or imitating the way they talk
Pamoja mkuu, ni kuto kuelewana kidogo tu.
👉We ni brother angu, kirohi Safi🙏
 
Nimeomba usome pm yangu mkuu. Mimi sio fundi Ila nina jambo la viwandani pia. Kama namba ya kunipigia basi ngoja nikaweke sawa maana nilitoa ya WhatsApp only!
Weka namba, Nime Soma pm.
👉Nataka hi issue iishe leo, Nime share ka Fursa tu🙏
 
kuna ndugu yangu hapa kasoma Industrial engineering management, ni kilaka hata umeme anaweza fanya kama akifanyiwa orientation au probation, vipi anaweza pata fursa mkuu
 
kuna ndugu yangu hapa kasoma Industrial engineering management, ni kilaka hata umeme anaweza fanya kama akifanyiwa orientation au probation, vipi anaweza pata fursa mkuu
Ume pigiwa simu zaidi ya Mara 2, hupokeii🤔.
👉Una hisi mi secretary wako??
 
Back
Top Bottom