Wataalamu wa 'Vijiti' ndio watakaoipa ubingwa Simba au Yanga msimu huu, hakuna tena ufundi uwanjani

Wataalamu wa 'Vijiti' ndio watakaoipa ubingwa Simba au Yanga msimu huu, hakuna tena ufundi uwanjani

Mwishokambi

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2020
Posts
390
Reaction score
1,425
Sasa hivi kinachoendelea katika ligi yetu sio kitu cha kawaida, sio tena uwezo wa kocha wala wachezaji, ndio maana unaona kocha anafukuzwa leo na kesho timu inapata matokeo kama kawaida, kocha wala sio ishu hapa bongo, ishu iko kwa wataalamu wetu wanaojua kuchomeka vijiti kwenye mageti, golini na uwanjani.

Mchezo wa Fountain Gate vs Simba ulinifikirisha sana, hasa pale washambuliaji Leonel Ateba na Mukwala walipogongana wenyewe kwa wenyewe na kushindwa kupachika wavuni goli la ushindi, mchezo wenyewe tangu awali namna magoli yalivyokuwa yanaokolewa kindumba na kipa wa Fountain yalionyesha wazi kabisa kuwa 'Kijiti' kimewekwa ili Simba asishinde.

'Kijiti' kikawekwa tena kule kwenye mechi na wajeda jana, cheza weeee lakini wapi, hangaika kule na huku hakuna goli.Kijiti kile.

Leo tena 'Kijiti" kiliwekwa pale KMC ambapo kama sio 'KIjiti" leo wajela wajela wangekula hata bao 8, 'Kijiti' kimewasaidia kupunguza mabao, na leo aliyepewa mikoba alikuwa beki wetu wa kulia ambaye alipewa man of the match.

Sasa hivi sio tena uwezo wa wachezaji, jana nilimuona Pacome akishika taulo la kipa wa JKT akitafuta Kijiti kilichomekwa wapi lakini wapi.

Kijiti kitaamua nani awe bingwa msimu huu, kama huna wataalamu wazuri wa kuchomeka vijiti sahau ubingwa.

Ni mwendo wa Kijiti tu sasa hivi.
 
Sasa hivi kinachoendelea katika ligi yetu sio kitu cha kawaida, sio tena uwezo wa kocha wala wachezaji, ndio maana unaona kocha anafukuzwa leo na kesho timu inapata matokeo kama kawaida, kocha wala sio ishu hapa bongo, ishu iko kwa wataalamu wetu wanaojua kuchomeka vijiti kwenye mageti, golini na uwanjani.

Mchezo wa Fountain Gate vs Simba ulinifikirisha sana, hasa pale washambuliaji Leonel Ateba na Mukwala walipogongana wenyewe kwa wenyewe na kushindwa kupachika wavuni goli la ushindi, mchezo wenyewe tangu awali namna magoli yalivyokuwa yanaokolewa kindumba na kipa wa Fountain yalionyesha wazi kabisa kuwa 'Kijiti' kimewekwa ili Simba asishinde.

'Kijiti' kikawekwa tena kule kwenye mechi na wajeda jana, cheza weeee lakini wapi, hangaika kule na huku hakuna goli.Kijiti kile.

Leo tena 'Kijiti" kiliwekwa pale KMC ambapo kama sio 'KIjiti" leo wajela wajela wangekula hata bao 8, 'Kijiti' kimewasaidia kupunguza mabao, na leo aliyepewa mikoba alikuwa beki wetu wa kulia ambaye alipewa man of the match.

Sasa hivi sio tena uwezo wa wachezaji, jana nilimuona Pacome akishika taulo la kipa wa JKT akitafuta Kijiti kilichomekwa wapi lakini wapi.

Kijiti kitaamua nani awe bingwa msimu huu, kama huna wataalamu wazuri wa kuchomeka vijiti sahau ubingwa.

Ni mwendo wa Kijiti tu sasa hivi.
Watakubeza ila kuna namna. Wasiwasi ni akili.

Ile mechi ya Fountain Gate baada ya lile goli walilokosa Ateba na Mukwala nikatoka fasta bandani nikajua hapa hata ziongezwe dakika 200 zingine hakuna goli litapatikana.

Mechi ya leo na Prisons wachezaji karibia woote wa Simba walionekana waziiito sana. Zile kosakosa za mwanzo nikajiambia leo kazi ipo. Mpanzu yule wa FG leo pamoja na kufunga goli hajaonekana. Kuna wakati nilidhani alishatolewa kitambo, baadae nakuja kugundua bado yupo uwanjani, aisee. Kapombe mwenyewe pamoja na kupata assist 2 ila naye alikuwa anajigongagonga isivyo kawaida. Wakaja kuingia kina Balua na Mukwala, yaani fresh legs kama 6 ila waliotoka walikuwa na uhai zaidi ya walioingia.

Labda ni uchovu!

Kingine angalia kwa makini goli walilofungwa Yanga mechi na KenGold. Kuna maswali nilijiuliza nikaja kuyapata Chasambi alivyojifunga.
 
Watakubeza ila kuna namna. Wasiwasi ni akili.

Ile mechi ya Fountain Gate baada ya lile goli walilokosa Ateba na Mukwala nikatoka fasta bandani nikajua hapa hata ziongezwe dakika 200 zingine hakuna goli litapatikana.

Mechi ya leo na Prisons wachezaji karibia woote wa Simba walionekana waziiito sana. Zile kosakosa za mwanzo nikajiambia leo kazi ipo. Mpanzu yule wa FG leo pamoja na kufunga goli hajaonekana. Kuna wakati nilidhani alishatolewa kitambo, baadae nakuja kugundua bado yupo uwanjani, aisee. Kapombe mwenyewe pamoja na kupata assist 2 ila naye alikuwa anajigongagonga isivyo kawaida. Wakaja kuingia kina Balua na Mukwala, yaani fresh legs kama 6 ila waliotoka walikuwa na uhai zaidi ya walioingia.

Labda ni uchovu!

Kingine angalia kwa makini goli walilofungwa Yanga mechi na KenGold. Kuna maswali nilijiuliza nikaja kuyapata Chasambi alivyojifunga.
Simba wakishaongoza Wanaridhika mapema, hata sub wanazofanya sio za kuongeza mabao.
Huu mchezo unaweza kuigharimu mwisho wa msimu kwani bingwa anaweza kuamriwa kwa tofauti ya magoli.
Tatizo jingine ni Kila mchezaji anataka afunge matokeo wanapoteza nafasi.
 
Simba wakishaongoza Wanaridhika mapema, hata sub wanazofanya sio za kuongeza mabao.
Huu mchezo unaweza kuigharimu mwisho wa msimu kwani bingwa anaweza kuamriwa kwa tofauti ya magoli.
Tatizo jingine ni Kila mchezaji anataka afunge matokeo wanapoteza nafasi.
Mnahangaika na wachezaji wanaobeti! Unataka waongeze magoli ili wachane mikeka yao wenyewe?
 
Sasa hivi kinachoendelea katika ligi yetu sio kitu cha kawaida, sio tena uwezo wa kocha wala wachezaji, ndio maana unaona kocha anafukuzwa leo na kesho timu inapata matokeo kama kawaida, kocha wala sio ishu hapa bongo, ishu iko kwa wataalamu wetu wanaojua kuchomeka vijiti kwenye mageti, golini na uwanjani.

Mchezo wa Fountain Gate vs Simba ulinifikirisha sana, hasa pale washambuliaji Leonel Ateba na Mukwala walipogongana wenyewe kwa wenyewe na kushindwa kupachika wavuni goli la ushindi, mchezo wenyewe tangu awali namna magoli yalivyokuwa yanaokolewa kindumba na kipa wa Fountain yalionyesha wazi kabisa kuwa 'Kijiti' kimewekwa ili Simba asishinde.

'Kijiti' kikawekwa tena kule kwenye mechi na wajeda jana, cheza weeee lakini wapi, hangaika kule na huku hakuna goli.Kijiti kile.

Leo tena 'Kijiti" kiliwekwa pale KMC ambapo kama sio 'KIjiti" leo wajela wajela wangekula hata bao 8, 'Kijiti' kimewasaidia kupunguza mabao, na leo aliyepewa mikoba alikuwa beki wetu wa kulia ambaye alipewa man of the match.

Sasa hivi sio tena uwezo wa wachezaji, jana nilimuona Pacome akishika taulo la kipa wa JKT akitafuta Kijiti kilichomekwa wapi lakini wapi.

Kijiti kitaamua nani awe bingwa msimu huu, kama huna wataalamu wazuri wa kuchomeka vijiti sahau ubingwa.

Ni mwendo wa Kijiti tu sasa hivi.
Marefa nao ni vijiti bubu
 
Uwanjani ni sayansi na uchumi mkubwa

Vijiti havina kazi ni imani nyeusi za wabongo

Ingekuwa vinafanya kazi tungekuwa na CAFCL za kutosha
 
Vipi kule CAF nako vijiti vinafanya kazi ama ni kwa ajili ya NBC tu?
 
Sasa hivi kinachoendelea katika ligi yetu sio kitu cha kawaida, sio tena uwezo wa kocha wala wachezaji, ndio maana unaona kocha anafukuzwa leo na kesho timu inapata matokeo kama kawaida, kocha wala sio ishu hapa bongo, ishu iko kwa wataalamu wetu wanaojua kuchomeka vijiti kwenye mageti, golini na uwanjani.

Mchezo wa Fountain Gate vs Simba ulinifikirisha sana, hasa pale washambuliaji Leonel Ateba na Mukwala walipogongana wenyewe kwa wenyewe na kushindwa kupachika wavuni goli la ushindi, mchezo wenyewe tangu awali namna magoli yalivyokuwa yanaokolewa kindumba na kipa wa Fountain yalionyesha wazi kabisa kuwa 'Kijiti' kimewekwa ili Simba asishinde.

'Kijiti' kikawekwa tena kule kwenye mechi na wajeda jana, cheza weeee lakini wapi, hangaika kule na huku hakuna goli.Kijiti kile.

Leo tena 'Kijiti" kiliwekwa pale KMC ambapo kama sio 'KIjiti" leo wajela wajela wangekula hata bao 8, 'Kijiti' kimewasaidia kupunguza mabao, na leo aliyepewa mikoba alikuwa beki wetu wa kulia ambaye alipewa man of the match.

Sasa hivi sio tena uwezo wa wachezaji, jana nilimuona Pacome akishika taulo la kipa wa JKT akitafuta Kijiti kilichomekwa wapi lakini wapi.

Kijiti kitaamua nani awe bingwa msimu huu, kama huna wataalamu wazuri wa kuchomeka vijiti sahau ubingwa.

Ni mwendo wa Kijiti tu sasa hivi.
Tueleze ni mechi ngapi Simba kashinda zaidi ya 4,,alafu utuambie hizo goli 8 mngezifungaje!
 
Uwanjani ni sayansi na uchumi mkubwa

Vijiti havina kazi ni imani nyeusi za wabongo

Ingekuwa vinafanya kazi tungekuwa na CAFCL za kutosha
Sasa Mkuu naomba niulize kidogo; kama Uchawi hauwezi kuleta matokeo yoyote kwenye soka, kwanini TFF wanakataza mambo hayo na kuyapigia faini? Kwanini wahangaike hivyo na jambo lisilo na athari yoyote?
 
Nahisi hiko kijiti kipo hapa General Isamuhyo.. maana singida wanakasa magoli ya wazi ilihali JkT wana Fatigue
 
Hakuna ubingwa wa ujanjaujanja mliambiwa msajili mkafanya makosa.
Timu iliyosajili vizuri itaendelea kubeba ubingwa mpaka 2030.
 
Back
Top Bottom