Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo 2×4 fundi anapiga hapo 30.Mbao ndefu futi 20.
2 X 4 = 150Pcs
2 X 2 = 130Pcs
1 X 8 = 18Pcs
1 x 10 = 12Pcs
BATI = 130 Pcs upana 87 cm (ALAF gage 28 au 30)
Kofia = 30
Valley 15
Misumari ya nnchi 4 = 50kg
misumari ya nnchi 2.5 = 4kg
Misumaru ya Bati =30 packet
kenchi wire = 6
DSM mapingaSitw iko wapi
Nimepatiwa na fundi mmoja hivi baada ya kumuomba anikadirie material za kuezekaHizo 2×4 fundi anapiga hapo 30.
Yaani 2×4 pc 150 na 2×2 pc 130? Labda kama unapaua kigae ila hizo bati za mgongo mpana kwa kweli ....
Au ni pamoja na bladering labda
Kabla hujanunua tafuta tena fundi mwingine ujifanye unampa kazi akuandikie tena na yeye anavyotaka alafu ulinganishe navya huyo wa mwanzo kwanza.Nimepatiwa na fundi mmoja hivi baada ya kumuomba anikadirie material za kuezeka
Ahaa kwa huko tegeta pale kuna jamaa wanauza mbao unapatia huko huko bati nakushauri uende kule alafu mwenge kiwandani unapata kwa bei nafuuDSM mapinga
poa thanksKabla hujanunua tafuta tena fundi mwingine ujifanye unampa kazi akuandikie tena na yeye anavyotaka alafu ulinganishe navya huyo wa mwanzo kwanza.
Kingine hataa kule alafu ukienda wanakupa mafundi wao wakukupimia mbao ngapi bati ngapi na ufundi kila kitu unamaliza ni hela yako tuu.poa thanks
Mbao ndefu futi 20.
2 X 4 = 150Pcs
2 X 2 = 130Pcs
1 X 8 = 18Pcs
1 x 10 = 12Pcs
BATI = 130 Pcs upana 87 cm (ALAF gage 28 au 30)
Kofia = 30
Valley 15
Misumari ya nnchi 4 = 50kg
misumari ya nnchi 2.5 = 4kg
Misumaru ya Bati =30 packet
kenchi wire = 6
Asante ndugutafuta fundi kwanza haya mahitaji umepigwa
Mkuu, nyumba yako ina properties zipi?Asante ndugu
vyumba vitatu vya kulala, dining, sebule & jikoMkuu, nyumba yako ina properties zipi?
Vyumba vya kulala vingapi, jiko, dinning & sebule.
Wewe uko wapi? Ungekuwa Dar hii ni kazi ya dakika 20 hadi 30 kama ukifika maeneo wanako uza vifaa hivyo kama hapa Buguruni Chama; kwa kweli huna haja ya kulileta humu JF kwa msaada. Nakushauri, kama uko Dar basi zungukia hapo Buguruni Chama au maeneo mengine kunako uzwa vifaa hivyo.Mbao ndefu futi 20.
2 X 4 = 150Pcs
2 X 2 = 130Pcs
1 X 8 = 18Pcs
1 x 10 = 12Pcs
BATI = 130 Pcs upana 87 cm (ALAF gage 28 au 30)
Kofia = 30
Valley 15
Misumari ya nnchi 4 = 50kg
misumari ya nnchi 2.5 = 4kg
Misumaru ya Bati =30 packet
kenchi wire = 6
Sawa nimeona site iko Mapinga, basi fanya kama ulivyo shauriwa humu JF. Ila bei katafute mwenyewe!Wewe uko wapi? Ungekuwa Dar hii ni kazi ya dakika 20 hadi 30 kama ukifika maeneo wanako uza vifaa hivyo kama hapa Buguruni Chama; kwa kweli huna haja ya kulileta humu JF kwa msaada. Nakushauri, kama uko Dar basi zungukia hapo Buguruni Chama au maeneo mengine kunako uzwa vifaa hivyo.
Mimi nyumba yangu ina sifa kama za nyumba yako,vyumba vitatu vya kulala, dining, sebule & jiko
Mkuu weka picha ya nyumba hapa na wengine tujifunze kupitia kwakoMbao ndefu futi 20.
2 X 4 = 150Pcs
2 X 2 = 130Pcs
1 X 8 = 18Pcs
1 x 10 = 12Pcs
BATI = 130 Pcs upana 87 cm (ALAF gage 28 au 30)
Kofia = 30
Valley 15
Misumari ya nnchi 4 = 50kg
misumari ya nnchi 2.5 = 4kg
Misumaru ya Bati =30 packet
kenchi wire = 6
Alaf hawa G30, bati zao upana huanzia 110-122cmMbao ndefu futi 20.
2 X 4 = 150Pcs
2 X 2 = 130Pcs
1 X 8 = 18Pcs
1 x 10 = 12Pcs
BATI = 130 Pcs upana 87 cm (ALAF gage 28 au 30)
Kofia = 30
Valley 15
Misumari ya nnchi 4 = 50kg
misumari ya nnchi 2.5 = 4kg
Misumaru ya Bati =30 packet
kenchi wire = 6