Wataalamu wanisaidie gharama ya vifaa vifuatavyo vya ujenzi

Wataalamu wanisaidie gharama ya vifaa vifuatavyo vya ujenzi

Bati DRAGON wameniambia gauge 30 migongo mipana futi 10 ni Sh. 27,500/- per piece,

Wakati ALAF wameniambia Sh. 38,500/-.
Ukaona kama Alaf wamekupiga au kama Dragon huenda wanauza feki ndio maana wanauza bei ndogo??

Sasa iko hivi hao wote Alaf na Dragon bei zao ni almost same.

Fanya hivi. Hilo bati migongo mipana futi 10. Vipimo vimefanana.

Tofauti hapo ni Upana ndio maana Alaf bei imekuwa kubwa. Dragon watakuuzia upana kati ya 75 hadi 87 wakati Alaf watakuuzia 122cm. Ukifanya calculation utakuta wote bei ni moja ila wasio na kupato watakimbilia Dragoni wakiamini bei ni rahisi
 
Hizo 2×4 fundi anapiga hapo 30.
Yaani 2×4 pc 150 na 2×2 pc 130? Labda kama unapaua kigae ila hizo bati za mgongo mpana kwa kweli ....
Au ni pamoja na bladering labda
Kigae inakula mbao mpka unachanganyikiwa. Hivi juzi nimepiga Mbao 700 hivi. Makadirio nilipiga mbao 450.

Ila wanatandaza kama mkeka🤣🤣
 
Ukaona kama Alaf wamekupiga au kama Dragon huenda wanauza feki ndio maana wanauza bei ndogo??

Sasa iko hivi hao wote Alaf na Dragon bei zao ni almost same.

Fanya hivi. Hilo bati migongo mipana futi 10. Vipimo vimefanana.

Tofauti hapo ni Upana ndio maana Alaf bei imekuwa kubwa. Dragon watakuuzia upana kati ya 75 hadi 87 wakati Alaf watakuuzia 122cm. Ukifanya calculation utakuta wote bei ni moja ila wasio na kupato watakimbilia Dragoni wakiamini bei ni rahisi

Alaf bei hyo ni cm 82 na sio cm 122 bro acha kudangnya watu! Bati pia utofautiana ubora kati ya kampuni na kampuni.
 
Tunauza mbao kwa bei ya jumla na rejareja :-
2*2 fut12=2500
2*3 fut 12=3500
2*2 fut12(treated) ya dawa=2800
2*2 fut18(treated) ya dawa=5000
2*4 fut12 treated(ya dawa)=5000
2*4 fut12 isiyo ya dawa=4500
1*6 fut12=4500
1*8 fut12=8500
1*8fut12 ya fisher board(treated)=9500
1*10 fut12=14000
1*10fut 12 fisher board( treated)=15000
2*4 fut18(treated)=10000
2*6 fut12=8000
1*4 fut12=2800
2*6 fut 18=19000
Tunapatikana muda wote kwa namba za simu zifuatazo:-
----0759630751
----0687371138
----0654830416

vile vile kuna huduma ya kuchana,kuranda na kusize mbao inapatikana ofisini kwetu pia Tunafanya delivery kwa wakazi wa Dar es salaam
Ofisi zetu zipo Tegeta kibaoni-Bagamoyo road
 
Back
Top Bottom