The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
Sentensi ya kwanza mwalimu ni kilaza,ephen_ haya njoo utupembulie hapa msomi wetu.
Mapema sana kuita watu vilaza shauri yako hii lugha ni baba la kuaibisha!, hii lugha hata Google translate huwa inagwaya...🤣Sentensi ya kwanza mwalimu ni kilaza,
Sentensi ya pili mwalimu yupo sawa.
Subiri mwalimu wangu Chaliifrancisco aje, mimi mwenyewe shule niliishia form 4.
Basi subiri Lucas Mwashambwa aje kuokoa jahazi.Mapema sana kuita watu vilaza shauri yako hii lugha ni baba la kuaibisha!, hii lugha hata Google translate huwa inagwaya...🤣
Mh!Basi subiri Lucas Mwashambwa aje kuokoa jahazi.
hiyo form 4 ni ya mwaka gani?Sentensi ya kwanza mwalimu ni kilaza,
Sentensi ya pili mwalimu yupo sawa.
Subiri mwalimu wangu Chaliifrancisco aje, mimi mwenyewe shule niliishia form 4.
2024hiyo form 4 ni ya mwaka gani?
Hii lugha sijawahi kuielewa,... shukran kiongoziSentence ya kwanza ..mwalimu amesimama na Debora kama noun na sio wazazi wa Debora ndo maana ametumia "has" badala ya "have"
Sentence ya pili ...."has"imetumika kama verb baada ya "will"ambayo ni lazm ifatiw na infinitive verb
Cc chatgpt
Na hichi ndo nacho fahamu hata mimi.Setensi ya kwanza sio sahihi,
ya pili pia haipo sahihi kwa sababu ya hiyo WILL
kwa hiyo itakuwa She will have na sio has
has inatumika kwa He/She/It
Have inatumika kwa I/You/We/They
Sentensi zote zimekosewa.Sentensi ya kwanza, Mwalimu ni Nnape .
Sentensi ya Pili Mwalimu ni Tundu LISSU.
Sentensi zote zina makosa.Sentensi ya kwanza mwalimu ni kilaza,
Sentensi ya pili mwalimu yupo sawa.
Subiri mwalimu wangu Chaliifrancisco aje, mimi mwenyewe shule niliishia form 4.
Hawa walimu tabu tupuSentensi zote zimekosewa.