Wataalqmu wa lugha ya kingereza.msada kwenye tuta

Sentence ya kwanza ..mwalimu amesimama na Debora kama noun na sio wazazi wa Debora ndo maana ametumia "has" badala ya "have"
Sentence ya pili ...."has"imetumika kama verb baada ya "will"ambayo ni lazm ifatiw na infinitive verb

Cc chatgpt
 
Sentence ya kwanza ..mwalimu amesimama na Debora kama noun na sio wazazi wa Debora ndo maana ametumia "has" badala ya "have"
Sentence ya pili ...."has"imetumika kama verb baada ya "will"ambayo ni lazm ifatiw na infinitive verb

Cc chatgpt
Hii lugha sijawahi kuielewa,... shukran kiongozi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…