The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
Angalia picha hapa chini, sijajua matumizi ya "has"na "have" yamekaaje.hapa.
Mtoto alikuwa amejaza "have" akakosa na corrections ni kama unavyoona hapo. Je ni sahihi? Hawa walimu wetu ni changamoto sana.
Mtoto alikuwa amejaza "have" akakosa na corrections ni kama unavyoona hapo. Je ni sahihi? Hawa walimu wetu ni changamoto sana.