Wataalqmu wa lugha ya kingereza.msada kwenye tuta

Mote humo ni mwendo wa have, labda kama lugha imebadilika.
Setensi ya kwanza sio sahihi,

ya pili pia haipo sahihi kwa sababu ya hiyo WILL

kwa hiyo itakuwa She will have na sio has

has inatumika kwa He/She/It
Have inatumika kwa I/You/We/They
Mkuu hawa ndio wamekupa jibu sahihi. Kiufupi huyo Mwalimu ni mpuuzi wa mwisho. sijui anawafundisha nini watoto wenu.
 
Yote Kakosa 🤣🤣🤣

Kwa swali la Kwanza "Parents" ni plural, so Kama Ni Plur al jibu ni "have" instead of "has."

Kwa Swali la Pili "Will" ni modal verb, na after modal verbs yoyote Iwe ni "Shall","Will", "Can","could","May","ought to",must, Should ,Might etc with the base form of the verb huwa Inaenda na have na Sio "has." Hiyo Ni Grammar ya Kawaida sana Nashangaa Mwalimu kushindwa Kuijua
 
Setensi ya kwanza sio sahihi,

ya pili pia haipo sahihi kwa sababu ya hiyo WILL

kwa hiyo itakuwa She will have na sio has

has inatumika kwa He/She/It
Have inatumika kwa I/You/We/They
Kwahiyo kwa ulichokimaanisha hapo nikisema “ SHE will have a lot of money soon“ sentensi hii inakua wrong?...Sentence zote hapo juu ni incorrect mwalimu nikilaza
 
Angalia picha hapa chini, sijajua matumizi ya "has"na "have" yamekaaje.hapa.

Mtoto alikuwa amejaza "have" akakosa na corrections ni kama unavyoona hapo. Je ni sahihi? Hawa walimu wetu ni changamoto sana.
View attachment 3265842
Sasa walimu wa form four failures ulitaka wafundisheje? Mpango wa serikali ya ccm ni kutengeneza wajinga wengi wa kutawaliwa bila ubishi.
 
Angalia picha hapa chini, sijajua matumizi ya "has"na "have" yamekaaje.hapa.

Mtoto alikuwa amejaza "have" akakosa na corrections ni kama unavyoona hapo. Je ni sahihi? Hawa walimu wetu ni changamoto sana.
View attachment 3265842
When the chicks grow she will have.... Vifaranga vikikua atakuwa na. Hata ya kwanza jibu sahihi ni Parents have...

Amandla...
 
Sentensi ya kwanza mwalimu ni kilaza,
Sentensi ya pili mwalimu yupo sawa.
Subiri mwalimu wangu Chaliifrancisco aje, mimi mwenyewe shule niliishia form 4.
Ukitumia maneno kama haya unaweza kujikuta uko UCHI kwenye mambo ya taaluma.

Hiyo sentensi ya pili hata haieleweki inamaanisha nini.
 
Kabla ya kufanya marekebisho katika hiyo sentensi ya kiingereza tuanze kwanza na hii ya kiswahili.

1.Mwalimu......darasani (Yuko/yupo)
 
Ukitumia maneno kama haya unaweza kujikuta uko UCHI kwenye mambo ya taaluma.

Hiyo sentensi ya pili hata haieleweki inamaanisha nini.
Nahisi sentesi ya pili itakuwa hivi
When all the chicks(vifaranga )grow she wii have fourteen hens(kuku)
 
nami naomba kujua tofauti ya kuku wengi (many hens) na kuku kumi na nne (fourteen hens)
 
Hiyo sentensi ya pili hata haieleweki inamaanisha nini.
Mpiga picha tu amekata neno la mwanzo, hapo kuna 'As' au 'When' kabla ya 'the'. Swali liko vizuri ila jibu sio sahihi
 
Parents ni wingi hivyo inahitaji kitenzi cha wingi na siyo umoja kwahiyo hapo mwanzo ilitakiwa iwe "Have" na siyo "Has"

Hata sentensi ya pili kakosa anatakiwa atumie "Have"

Msachi dogo vizuri atakua anatembea na kalamu nyekundu
 
Angalia picha hapa chini, sijajua matumizi ya "has"na "have" yamekaaje.hapa.

Mtoto alikuwa amejaza "have" akakosa na corrections ni kama unavyoona hapo. Je ni sahihi? Hawa walimu wetu ni changamoto sana.
View attachment 3265842
Has is a singular verb and have is plural verb, So the correct answer for each question is "Have" because the nouns refered are in plural form.
 
Sentensi zote zimekosewa.

"Have" ni moja kati ya vitenzi vingi visivyo vya kawaida(irregular verbs) kwenye kiingereza.

Kitenzi hiki kinaweza kuwa kitenzi kisaidizi,

Na hutumika kuonesha umiliki kwenye nafsi ya kwanza, nafsi ya pili umoja, na nafsi ya tatu wingi(I, We, you, they).

Yapo matumizi mengine machache, ila sio rasmi sana.

Hizo sentensi zote mbili zinapaswa ziwe na have.

"has" ni badiliko(conjugation) la have linalotumika kwenye nafsi ya tatu umoja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…