R.B
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 6,296
- 2,575
Wizara ya elimu imekuja na mpango mpya ambao watahiniwa binafsi watafanya kila somo mitihani wiwili paper one mark 30 na paper two 70 mark .
Zikijumlishwa unapata marksi 100.
Wasiwasi wangu.
1. Ni mzigo kwa watahiniwa wa gharama za kuishi wakati wa kipindi cha mitihani - kutoka siku 7 mpaka 14
2. Gharama za usimamizi zinaongezeka ambao ni mzigo kwa taifa
3. Gharama za ulinzi zinaongezeka kutokana na askari wengi kuwa wanasimamia mitihani , inaweza kuwa ni lup all ya majambazi kufanya uharifu wakijua askari wengi wapo wana simamia mitihani
4.Gharama za ushahihishaji
5. Gharama za karatasi.
Niwekeni vizuri wanajamvi; mfumo wa zamani unamadhaifu gani ?
Zikijumlishwa unapata marksi 100.
Wasiwasi wangu.
1. Ni mzigo kwa watahiniwa wa gharama za kuishi wakati wa kipindi cha mitihani - kutoka siku 7 mpaka 14
2. Gharama za usimamizi zinaongezeka ambao ni mzigo kwa taifa
3. Gharama za ulinzi zinaongezeka kutokana na askari wengi kuwa wanasimamia mitihani , inaweza kuwa ni lup all ya majambazi kufanya uharifu wakijua askari wengi wapo wana simamia mitihani
4.Gharama za ushahihishaji
5. Gharama za karatasi.
Niwekeni vizuri wanajamvi; mfumo wa zamani unamadhaifu gani ?