Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
msela wa manzese, kichwa kichafu, modgufuli Numbisa na Joanah hao members popote mlipo natamani tukutane
How i wish to meet these people.
1) Kasie mahaba- napenda stories zake huwa naenjoy, pia anasemaga yeye ni bibi ila nahisi ni kabinti tu anatuzuga.
2) Masterplan - Plans master
3) Kichwa Kichafu- ana madini fulani hivi afu alikuaga babe ila kaniacha
4) SHIMBA YA BUYENZE - Salimet afu huwa nahisi si mbongo huyu
5) Sky Eclat - Doctor herself na ana madini fulani ya afya muhimu
6) miminimkulimaakachekasana - nahisi nikimuona tu ntaanza kucheka hili jina
7) Paula Paul -lazima ni mtoto wa kishua huyu,napenda English yake[emoji7]
Na wengineo kibao, ingewezekana siku tuonane wote tu tupige mastories mpaka basi, usiku mwemaa.
😅😅😅Eboh...
Anyway ngoja aje nayo nijitutumue...
Ndio ndio.
😅😅😅Ngoja nitulie japo jogoo anawika...Aahahahahhhaaaa mambo mazuri hayataki haraka aahahahhahahaaaa.
Mimi nkikutaja wewe je??
😅😅😅Ngoja nitulie japo jogoo anawika...
😅😅😅😅 jogoo mchinjaji ...Kookoooriiikooooooooo
Aahhahahhaaa ngoja kwanza, anayewika ni jogoo yupi ...!!? Mwenye upanga ama....!!!
Nitaje tu 😁Mimi nkikutaja wewe je??
Ooh thank you babe, niliona umekua busy nikahisi ndiyo nishaachika hivoo, nashukuru baba watoto wetu Genius kama baba yao😜Baby mbona sijakuacha hizo nguvu nitazitolea wapi kwa mwanamke mzuri mwenye staha na heshima tele.
Mwanamke wa ndoto zangu tujenge family na malezi bora kwa watoto.
@Relief Mirzska Nasubiri.
[emoji2296][emoji2296][emoji2296][emoji2296]
Ooh thank you babe, niliona umekua busy nikahisi ndiyo nishaachika hivoo, nashukuru baba watoto wetu Genius kama baba yao[emoji12]
Mambo si ndio haya sasa, hadi nimetabasamu.[emoji8]