Wataje members watatu unayetamani kukutana nao

Wataje members watatu unayetamani kukutana nao

Aaahahahahhahaaaa

Hakufi mtu ila atakuwa anazirai halafu anazinduka halafu anazirai tena na kuzinduka hivyohivyo hadi kiwi imkatike 🤪 au aombe poo 😅
Bibi umetokea tanga wewe sio???🤔
 
Aahahahahhaaa huko nimechovyea nusu, nusu nimechovyea kuliko na chem chem za asali aka mautamu😅
Daah😅😅😅
Isingekuwa story yako na yule jamaa wa jeshini mliekutana nae hivi karibuni
Ningekuwa nilishafika Pm na kishikia uchumba 😂😂😂
Alafu hujatupa mrejesho au ni me sijaona
 
Daah😅😅😅
Isingekuwa story yako na yule jamaa wa jeshini mliekutana nae hivi karibuni
Ningekuwa nilishafika Pm na kishikia uchumba 😂😂😂
Alafu hujatupa mrejesho au ni me sijaona


Aaahahahahhhaha

Mie sinaga mrejesho ni muendelezo tuu yaani party after party 🎉
 
kwa hiyo mambo ni motto....
Bibi una balaa wewe

Aahahahahahhaaa balaaa blablai kilo moja na nusu mithili ya bi kidude 😅

Msimu wa sikukuu huu mjukuu, kama moto hauwaki unaenda omba kwa jirani ukolezee kwako nako uwake.
 
Aahahahahahhaaa balaaa blablai kilo moja na nusu mithili ya bi kidude 😅

Msimu wa sikukuu huu mjukuu, kama moto hauwaki unaenda omba kwa jirani ukolezee kwako nako uwake.
Moto kwangu hauwaki...
na jirani wangu ndo weye....
Niko njian naja😅🏃
 
Moto kwangu hauwaki...
na jirani wangu ndo weye....
Niko njian naja😅🏃

Aahahhahahaaaaa mgiriki weeyeeee

Ukuye na tiketi kabisaaa, nikishakupeya moto tunahama kituo kwenda kukiwasha mahala pengine hadi tulipue fataki ndo tutaacha kupeana moto.

Ujipange kisawasawa maana sinaga mapumziko mie 🤪🤪😜😜😜 aahahahahahhaaa.
 
Aahahhahahaaaaa mgiriki weeyeeee

Ukuye na tiketi kabisaaa, nikishakupeya moto tunahama kituo kwenda kukiwasha mahala pengine hadi tulipue fataki ndo tutaacha kupeana moto.

Ujipange kisawasawa maana sinaga mapumziko mie 🤪🤪😜😜😜 aahahahahahhaaa.
😅😅😅Bibi una mambo wewe ila hapa kwangu panaitwa hamtoki..
sio kama mtakuja msipokuja tulalame
na sio kama ulikochovya huko ambako kunani....
Sema Wacha niendelee kushuudia moto wenu unavyowaka..
Maan umenivutia tangu siku ya kwanza..
Ya nini kuuiba moto usio wa kwangu
Japo wameniambia nikiendelea na hii heshima ya moto wa jirani kwangu hautawaka kamwe
Sema najua bibi wewe wawajua wengi wenye kiberiti utanitafutia mwenye kiberiti cha kuni za mpingo aje kuwasha makaa yangu ya mawe milele😉
 
@financial services
@Saint Anne
@Mshana Jr

Wawili hao ni vipenzi vya umoyo gwangu ..! Nyie wawili daah sijui nisemeje.. ila napenda sana uwepo wenu na vile mlivyo asee.![emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059]
Ila Mkuu mshana Jr nataka nimuone na anifundishe madude asee.! Naipenda hiyo elimu tukiacha na Elimu za darasani.!
 
Mimi niko na wale vijana wangu wawili tu na kuwataja siwezi nitawavutia kaganja siku moja nichafue chafue PM zenu🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom