Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Nimekuja hapa chapMwachiluwi kuja hapa fasta najambo tudiscuss 😂🤣😋
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekuja hapa chapMwachiluwi kuja hapa fasta najambo tudiscuss 😂🤣😋
Intelligent businessman alipromise mwanadada atamtoa out akaniambia nimwambie nimemwambia halafu akukabali halafu amekimbia nifanyaje??Nimekuja hapa chap
Ahaha ukimuona mpige kifo cha kunguruIntelligent businessman alipromise mwanadada atamtoa out akaniambia nimwambie nimemwambia halafu akukabali halafu amekimbia nifanyaje??
Una niombea ubaya😂😂🤔, kufa mwenyewe 😂🤣Ahaha ukimuona mpige kifo cha kunguru
Nishasema sinaga hella😂🤣🤣Intelligent businessman alipromise mwanadada atamtoa out akaniambia nimwambie nimemwambia halafu akukabali halafu amekimbia nifanyaje??
Mtoe tu afurahi shoga akoNishasema sinaga hella😂🤣🤣
Aisee 😂🤣🤣🤔, mi jobless nitoe wapi helaa LenieMfuko wake tu, me sina pingamizi mbona🤗
Intelligent businessman
Nipe helaaa 🤣😂😂Mtoe tu afurahi shoga ako
Mi jobless bhana🤣😂😂😂💃💃💃 Nitatokelezea balaa
Ila me naenda kwa ajili ya kula tu😋😋
Sasa gauni ya kubana itanichora kitambi nikishiba
Wewe wakuuliwa kabisaUna niombea ubaya😂😂🤔, kufa mwenyewe 😂🤣
Mi jobless bhana🤣😂😂😂💃💃💃 Nitatokelezea balaa
Ila me naenda kwa ajili ya kula tu😋😋
Sasa gauni ya kubana itanichora kitambi nikishiba
Sasa jobless nitoe wapi helaa🤣😂😂Wewe wakuuliwa kabisa
Ahahaha njoo kinoSasa jobless nitoe wapi helaa🤣😂😂
Labda nikurudishe nyumbani kwa vichaa tena eti helaNipe helaaa 🤣😂😂
Kwani hiyo out mpaka mvae magauni ya kututega🤔, kwani naenda kumkula Lenie 😂🤣🤣Vaa ile gauni fupi nyekundu inayokushika vyema ile ni nzuri sana
Aisee hapana niouting tuKwani hiyo out mpaka mvae magauni ya kututega🤔, kwani naenda kumkula @lenie😂🤣🤣
Kuna nini 🤔 huko daslam😂🤣Ahahaha njoo kino