Wataje watu maarufu wenye umri mkubwa ambao bado hawajaoa

Wataje watu maarufu wenye umri mkubwa ambao bado hawajaoa

Master jay alioa harusi kabisa kanisani.. na ilikuwa diamond jubilee ukumbi.. ndoa yake ilivunjika.. ila alizaa watoto wawili na mke wake huyo...


Baba yake master jay mzee kimario alikuwa mkurugenzi Tanesco enzi za mkapa.. harusi kabisa kanisani tena harusi kubwa ya gharama,, kweye harusi zawadi walipewa nyumba
hivi hajaoa kabisa?? nkajua ndoa yake ilovunjika,maana wazazi wake walikuwa wanamlazimisha sana aoe
 
Master jay alioa harusi kabisa kanisani.. na ilikuwa diamond jubilee ukumbi.. ndoa yake ilivunjika.. ila alizaa watoto wawili na mke wake huyo...


Baba yake master jay mzee kimario alikuwa mkurugenzi Tanesco enzi za mkapa.. harusi kabisa kanisani tena harusi kubwa ya gharama,, kweye harusi zawadi walipewa nyumba
[emoji23][emoji23] mpaka kavunja ndoa atakuwa alikutana na mauza uza
 
Mzee Ibrahim Haruna Lipumba hivi bado ndie Mwenyekiti wa CUF?
Ndiye mwenyekiti wao
IMG-20191129-WA0005.jpeg
 
Master jay alioa harusi kabisa kanisani.. na ilikuwa diamond jubilee ukumbi.. ndoa yake ilivunjika.. ila alizaa watoto wawili na mke wake huyo...


Baba yake master jay mzee kimario alikuwa mkurugenzi Tanesco enzi za mkapa.. harusi kabisa kanisani tena harusi kubwa ya gharama,, kweye harusi zawadi walipewa nyumba
Ni watoto watatu
 
Back
Top Bottom