jimmyfoxxgongo
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 5,352
- 9,329
Nimempumzisha Denvers
Ndo maana sasa nimekufahamu mdau sema usingemtoa hadharani Denvers
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimempumzisha Denvers
hivi hajaoa kabisa?? nkajua ndoa yake ilovunjika,maana wazazi wake walikuwa wanamlazimisha sana aoe
[emoji23][emoji23] mpaka kavunja ndoa atakuwa alikutana na mauza uzaMaster jay alioa harusi kabisa kanisani.. na ilikuwa diamond jubilee ukumbi.. ndoa yake ilivunjika.. ila alizaa watoto wawili na mke wake huyo...
Baba yake master jay mzee kimario alikuwa mkurugenzi Tanesco enzi za mkapa.. harusi kabisa kanisani tena harusi kubwa ya gharama,, kweye harusi zawadi walipewa nyumba
oo!!nilichanganya,kuzaa labda ila kuoa hapanaUkikua utaelewa.
[emoji23][emoji23] atakuwa alikutana na mauza uzaAlishawahi kuoa lakin
Alitoa mpaka kitabu,ndoa sio mchezo[emoji23][emoji23] atakuwa alikutana na mauza uza
Amchukue zuhura wa bibisiBado yuko single
itabidi nikitafute nione mkasa ulikuwaje[emoji23][emoji23]Alitoa mpaka kitabu,ndoa sio mchezo
Haha aliwekaga humu jf baadhi ya vipandeitabidi nikitafute nione mkasa ulikuwaje[emoji23][emoji23]
Na wewe 45 hujaoa
[emoji23]ntafuatiliaHaha aliwekaga humu jf baadhi ya vipande
Ndiye mwenyekiti waoMzee Ibrahim Haruna Lipumba hivi bado ndie Mwenyekiti wa CUF?
hivi ni wa zanzibar yule maza??Amchukue zuhura wa bibisi
ni msanii??Leonardo Di caprio
mwanaume aliyekua ana miaka mingapi?? maana huyo unayemwita mchanga i guess ni 30+Dayamondi bado mchanga ananuka maziwa
Ni watoto watatuMaster jay alioa harusi kabisa kanisani.. na ilikuwa diamond jubilee ukumbi.. ndoa yake ilivunjika.. ila alizaa watoto wawili na mke wake huyo...
Baba yake master jay mzee kimario alikuwa mkurugenzi Tanesco enzi za mkapa.. harusi kabisa kanisani tena harusi kubwa ya gharama,, kweye harusi zawadi walipewa nyumba
watoto anao??Dr shika
Sidhani labda kama ametimiza 30 mwaka huu, hata hivyo kwa mwanaume hatuwezi kumweka kundi hili walau afike 35+mwanaume aliyekua ana miaka mingapi?? maana huyo unayemwita mchanga i guess ni 30+