Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Watakuja wazee wa nongwa watasema kama humjui huyo jamaa basi umetoka Burigi juzini msanii??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watakuja wazee wa nongwa watasema kama humjui huyo jamaa basi umetoka Burigi juzini msanii??
diva,wolper,snuraWema Sepetu
Maulidi kitenge ana wake 2Write your reply...Mauridi Kitenge, Aliko dangote
Kweli kabisa.Heri kwao. Ukishajiona huna akili za kuendesha familia ni vema usioe wala kuzaa. Utaiepusha jamii na matatizo yasiyoyalazima.
Nasikia Bush alikula huyu mama wakati ni secretary of state na jamaa president.Condoleezza Rice
Hivi tusipooa mnapungukiwa nini?!Tuanze na humu JF kuna yule tajiri Kiduku Lilo
Na yule anajiitaga senior bachelor.
Mshana Jr sina hakika.
Unasemaje dogo?@Rrondo
Tumsubiri mleta mada aje atujibu.Hivi tusipooa mnapungukiwa nini?!
Yule ana 60+ameshafikisha 50?? ana mtoto?
[emoji23][emoji23][emoji23]John sins
Unasemaje dogo?
Wewe nasikia una 46 na huna mpango wakuoa.Tumsubiri mleta mada aje atujibu.
Maana yeye alitaka tu tumpe listi me sijui ana kazi nazo gani, labda yuko kwenye kufanya research
😂 😂 😂 😂 njoo kwetu mahali panya bukuNatamani kuoa leo kesho. Ila mahali sina, akijitokeza mwanamke wa kunisaidia mahali namuoa.
Umemwona RRONDO lakini?
Huyo panya namtolea wapi? Kwanza nikimuona panya nakimbia.😂 😂 😂 😂 njoo kwetu mahali panya buku
Sijui anakwama wapi😀😀😀
tatizo LA wanaume wa dar😇😇😇😇Huyo panya namtolea wapi? Kwanza nikimuona panya nakimbia.