Vhagar
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 20,550
- 39,949
Joke ilikuwa mkuu me mwanaume wa shoka nipo chato hapa karibu na mbuga mpya ya Burigi.Kama ni kinondoni, Aisee Nimekuelewa..... Nawajua kuna takwimu zimewaelezea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Joke ilikuwa mkuu me mwanaume wa shoka nipo chato hapa karibu na mbuga mpya ya Burigi.Kama ni kinondoni, Aisee Nimekuelewa..... Nawajua kuna takwimu zimewaelezea.
Mimi Nimekuja chaka kuangalia tumbaku mashambani maandalizi week sasa, napishana na koboko tu.....sasa suala la kukimbia pAnya ukanitishaJoke ilikuwa mkuu me mwanaume wa shoka nipo chato hapa karibu na mbuga mpya ya Burigi.
hamna,sio mfuatiliaji sanaNi mcheza X maarufu. Ndugu umri wako utakua umepanda kidogo![emoji23]
kafikisha 40?? ana watoto??
mkurya anasemaje?? samahani lakiniKafikisha. Anae mmoja nadhani
Aiseee
Kumbe, nakuja PM [emoji125][emoji125][emoji125][emoji144][emoji144][emoji144]ndoa sio vigezo bali ni maelewano...
Zuhura wa BBC hajaolewa
Mwalimu wa kiswahili aliyekufundisha shule ya msingi, alipoteza muda wakeMauridi
Ndio kaka, boxer mzuri tu.. pambano lake na Rhona Rhodes hua ni kali sanahuyo jamaa ni boxer??
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3],una mtoto??mimi hapa now 49 bado sijafikiria hata kuoa
Alikuwa nao 4. Anaitwa baba wanne!Maulidi kitenge ana wake 2
ametishaAlikuwa nao 4. Anaitwa baba wanne!
nina watoto 6 kila mtu na mama yake[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3],una mtoto??
Ana watoto watatu kwny ndoa yake ya awali.Master jay alioa harusi kabisa kanisani.. na ilikuwa diamond jubilee ukumbi.. ndoa yake ilivunjika.. ila alizaa watoto wawili na mke wake huyo...
Baba yake master jay mzee kimario alikuwa mkurugenzi Tanesco enzi za mkapa.. harusi kabisa kanisani tena harusi kubwa ya gharama,, kweye harusi zawadi walipewa nyumba
Mzee baba kwani bado unaunguza vidole tu?[emoji39]Natafuta mchumba
Sibagui
Kabila
Imani
Umbile
Kimo
Umri
Rangi
Tabia
Historia
Elimu
Ujuzi
umbali
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3],bila shaka hao wanawake ukiamua unapiga anytimenina watoto 6 kila mtu na mama yake