Wataje watu maarufu wenye umri mkubwa ambao bado hawajaoa

Wataje watu maarufu wenye umri mkubwa ambao bado hawajaoa

Natafuta mchumba
Sibagui
Kabila
Imani
Umbile
Kimo
Umri
Rangi
Tabia
Historia
Elimu
Ujuzi
umbali
 
Master jay alioa harusi kabisa kanisani.. na ilikuwa diamond jubilee ukumbi.. ndoa yake ilivunjika.. ila alizaa watoto wawili na mke wake huyo...


Baba yake master jay mzee kimario alikuwa mkurugenzi Tanesco enzi za mkapa.. harusi kabisa kanisani tena harusi kubwa ya gharama,, kweye harusi zawadi walipewa nyumba
Ana watoto watatu kwny ndoa yake ya awali.
 
Back
Top Bottom