Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
Nimekuta umefunga mlangoMbona hufiki? [emoji39][emoji39][emoji39][emoji85]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekuta umefunga mlangoMbona hufiki? [emoji39][emoji39][emoji39][emoji85]
Na ana umri unakimbizana na miaka ya Tanganyika kumtoa mkoloni(......inakaribiana na 58)🤣🤣Le Mutuz
le mutuz naye ameweka rekodiNa ana umri unakimbizana na miaka ya Tanganyika kumtoa mkoloni(......inakaribiana na 58)[emoji1787][emoji1787]
diva,shamsa,jokate, hivi johari vipi?? kuna yule norah wa maigizo itv,ray c, rachel,snura ila case study tufanye diva, inakuaje mwalimu wa mapenzi hajaolewa??Wema Sepetu
oa then baada ya miaka mitano uje ulete maoni yako kwamba ni jambo jema au latupo wengi mkuu ila sio jambo jema [emoji2]
kasikika kwenye tv moja akisema kwamba ana wake wawili ila ameshaachana nao
hatari sana, nipe changamoto na raha za hayo maishanina watoto 6 kila mtu na mama yake
upo sehemu salama,ungejichanganya tu kuoa ungeishi maisha ya stress uzeeke mapemamimi hapa now 49 bado sijafikiria hata kuoa
kasikika kwenye tv moja akisema kwamba ana wake wawili ila ameshaachana nao
Sent using Jamii Forums mobile app
huwezi jua yaliyotokea,mambo ya siri hayoKama ni hivyo yeye ndio shida tena kubwa wawili wote umeachana nao? how?