Watakaopata daraja la 4 na sifuri elimu ya sekondari watashtakiwa kwa uhujumu uchumi

Uhujumu uchumi kwani wamewalazimisha kuwalipia ada? Si mmetaka wenyewe?
 
Sijui baadhi ya viongozi wa awamu hii ya tano wakoje?

It's like huwa hawapimi maneno yao kabla hayajawatoka kinywani.

Huyu Afisa Elimu Mkoa ameshindwa kujifunza kwa waliomtangulia namna ya kupandisha ufaulu??

Au yeye ndiyo Mtu wa Kwanza kushika hiyo nafasi ya afisa Elimu??

Namshauri apitie sheria ya makosa uhujumi uchumi hapa 👇👇
 

Attachments

Hawajui cha kufanya hawana mbinu za kusaidia vijana wetu vimebaki vitisho tuu!!
 
Anatania au yupo serious?

Kama yupo serious basi ilibidi yeye awe wa kwanza kushtakiwa kwa uhujumu uchumi.
 
Hawajui cha kufanya hawana mbinu za kusaidia vijana wetu vimebaki vitisho tuu!!
Ujinga tupu

Wameshindwa kutoa angalau zawadi kuongeza Morale kwa walimu pamoja na wanafunzi wanaofanya vizuri wanaishia kuwatisha Wanafunzi
 
Hivi kufeli mtihani ni kosa la jinai ?
Au ni la madai ?
Au ni kosa la kinidhamu ?

Mbona mimi naona kama sio kosa.
Nikosa TU...HALIPO kwenye hayo tajwa lakini nikosa...

Nikosa kukosa Akili darasani...nikosa kuwanazo na ukakosa Ajira... Nikosa kufeli darasa lasaba na usiwe mfanyabiashara mkubwaa...

Wote tajwa washtakiwe tu..


Nikosa kuwa mkurya alafu hujapiga mtu panga la kichwa Billie ... Ushtakiwe
 
Huyu naye hajielewi.
 
Hahahhahahaaa......naipenda Tz akya nan......!!
 
Nauliza tu wakisoma wote mtawapeleka wapi waliopo tu wanawashinda

Hahaha hii ndo tz tutaona mengi 🏃
 
Huyo nae kilaza kama kabudi
 
Li nchi limeshakuwa la kipumbafu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…