Watakatifu ni wazungu waliokufa zamani. Waafrika waliokufa zamani eti ni mizimu



theguardian.com/world/2023/may/08/iran-hangs-two-men-for blasphemy-as-executions-increase-amid-unrest
 
kesi ya gilesi na taco la kutetemeka😅😅😅
 
Kwani neno mizimu lina ubaya gani. Acha wao waitwe watakatifu sisi tutawaita mizimu kila mtu ashike lake. Hata majina wao wana yao ya akina John sisi tu yetu ya akina mwakingwe na hatulalamiki.
 
Hongera Mkuu kwa andiko lako! Ila sio kweli kwamba watakatifu wote ni wazungu, hawa nj baadhi ya watakatifu wasio wazungu:
Mashaidi wa Uganda, hapo kuna:
Mtakatifu Charles Lwanga (Karoli Lwanga)
Mtakatifu Matthias Muluumba
Mtakatifu Andrew Kaggwa
Mtakatifu Athanasius Bazzekuketta
Mtakatifu Gonzaga Goonza
Mtakatifu Noe Mawaggali
Mtakatifu Luke Baanabakiintu
Mtakatifu James Buzaabalyaawo
Mtakatifu Gyaviira Musoke
Mtakatifu Ambrosio Kibuuka
Mtakatifu Anatoli Kiriggwajjo
Mtakatifu Achilles Kiwanuka
Mtakatifu Kizito Omut
Mtakatifu Mbaga Tuziinde
Mtakatifu Mugagga Lubowa
Mtakatifu Joseph Mukasa
Mtakatifu Adolphus Ludigo
Mtakatifu Bruno Seruunkuuma
Mtakatifu John Mary Muzeeyi
Mtakatifu Dennis Ssebuggwaawo Wasswa
Mtakatifu Ponsiano Ngoondwe
Mtakatifu Mukasa Kiriwawaanvu

Ukiachana na hao kuna hawa:
Mtakatifu Justin de Jacobis
Mtakatifu Josephine Bakhita
Mtakatifu Daniel Comboni
Mtakatifu Jacques Berthieu
Mtakatifu José de Anchieta.

Utakatifu sio rangi wala ngozi mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…