Sharbel
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 1,393
- 2,759
Sijakuelewachama chakavu wanashindwa jambo mkuu????? hukohuko wanazikula
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijakuelewachama chakavu wanashindwa jambo mkuu????? hukohuko wanazikula
Yes, kama hataki risk kabisa liquid fund haiwezi kwenda beyond 15% ila hiyo mifuko ya hisa inapanda na kushuka sana kutegemea na sokoSawa Sawa Ama Liquid Fund Collection
Shida hatujui umri wa mwekezaji, kazi yake n.kHata wekeza Sio mbaya
Kwahiyo kama viongozi wa serikali wamewekeza UTT hakuna risks za kupigwa?From experience thamani za vipande zinakua Kadri muda unavoenda ....pia kuhusu kuchotwa pesa Sio rahisi sababu ukitaka kuchukua pesa zako muda wowote unachukua Ni within 3 days or 10 days kulingana Na Aina YA mfuko..UTT inakusanya fedha kwenye pool Na kwenda kuinvest sehemu mbalimbali gawio watakalopata wanakuja kuligawa Kwa holders uzuri wanainvest sehemu ambazo known Na reliable kama gvt securities,bond pia Kuna viongozi wa serikali mawaziri wamewekeza UTT....so kua Na Amani
YesKwahiyo kama viongozi wa serikali wamewekeza UTT hakuna risks za kupigwa?
Unakumbuka kuna waziri mkubwa tu alienda kufungua Kaylinda na watu wakapigwa vizuri tu ?