Watalaamu wa masuala ya uwekazaji wa amana na mifuko ya serikali naomba mnijibu swali langu hili

Watalaamu wa masuala ya uwekazaji wa amana na mifuko ya serikali naomba mnijibu swali langu hili

From experience thamani za vipande zinakua Kadri muda unavoenda ....pia kuhusu kuchotwa pesa Sio rahisi sababu ukitaka kuchukua pesa zako muda wowote unachukua Ni within 3 days or 10 days kulingana Na Aina YA mfuko..UTT inakusanya fedha kwenye pool Na kwenda kuinvest sehemu mbalimbali gawio watakalopata wanakuja kuligawa Kwa holders uzuri wanainvest sehemu ambazo known Na reliable kama gvt securities,bond pia Kuna viongozi wa serikali mawaziri wamewekeza UTT....so kua Na Amani
Kwahiyo kama viongozi wa serikali wamewekeza UTT hakuna risks za kupigwa?
 
Unakumbuka kuna waziri mkubwa tu alienda kufungua Kaylinda na watu wakapigwa vizuri tu ?

Hakuna investment duniani ambayo ni risk free.

Na risk ya kwanza inapaswa kuwa watu walioko kwenye mifumo ya utawala.

Wakitaka pesa yoyote wanaipiga tu na hautakuwa na cha kuwafanya.
 
Back
Top Bottom