Watalii wanamiminika in the East Africa's Corona free state

eliakeem

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2009
Posts
17,214
Reaction score
15,853
Dunia nzima inajua ukitaka kwenda kutalii bila ya bughudha ya kushurutishwa kuvaa barakoa au mikwala mingine mingi. Dunia inajua kuna nchi moja tu iko mashariki ya Afrika ndiyo haina hayo mafua. Nayo ni Tanzania.

 

Attachments

  • TZ 1.jpeg
    97.4 KB · Views: 1
Kuna youtuber flani mbongo anafanya reactions [emoji23][emoji23]
Juzi karudi na kusema ilikha anaugua lkn sai ako vizuri karudi ila bado ana matatizo ya kupumua..
Ila siwezi kumuanika hapa ila kw uzuri hakusema corona direct
 
Kuna youtuber flani mbongo anafanya reactions [emoji23][emoji23]
Juzi karudi na kusema ilikha anaugua lkn sai ako vizuri karudi ila bado ana matatizo ya kupumua..
Ila siwezi kumuanika hapa ila kw uzuri hakusema corona direct

Hayo ni maradhi yake. Hata hapo kenya mnaumwa, lakini hamkuja Tanzania.
 
MUNGU ATULINDE 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…