Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WalaaaaaaBasis tumpe mikumi natano tuu, nasema uwongo ndg zangu?
Magufuli ana MunguAisee!!Covid-19 ni sehemu ya fursa
Kwao unapimwa hadi ukome hakuna kusafiri nje hadi upimwe barabara wako safeNdio wanatuletea kirusi kipya cha Uingereza, hatarious sheet
Ndio wanatuletea kirusi kipya cha Uingereza, hatarious sheet
Wivu wa nyang'au povu kafulie ngotha zakoInasemekana Watanzania hawawezi kupata corona kwa mujibu wa serikali yenu. Kuanzia Mei mwaka uliopita, hakuna Mtz aliyepata corona japo Wakenya walio na corona na majirani zenu walio na corona huwa wanakuja kuwatembelea. Hata hawa wazungu baadhi yao lazima wawe na corona ila kwa sababu Watanzania ni watu speshieli walio umbwa na udongo soft kushinda watu wengine basi nyinyi hamuwezi kupata corona kwa hivyo tulia usiogope.
Umesema kweli tupu mkuu.Magufuli ana Mungu
Watanzania tulipokuwa tukiomba Mungu wengine walitucheka sasa ona Mungu hadhihakiwi
Zanzibar kuna watu matajiri toka waingie mwaka jana January hawajaachia vyumba ndio wanawaambia wenzie kimbieni corona huko mtakufa njooni free corona country
Arusha mahoteli kibao pia ina waters matajiri wakazi wa kudumu toka mwaka jana
Mi Niko hapaa USA river maisha na starehe Kama kawaida huko USA kwako mizinguoWatu wanapenda uhuru na starehe. Mie sasa hivi nipo USA na maisha yanaendelea japo starehe ZOTE zimesimama. Hizo Hakuna. Watu wakijua wanawesa pata starehe Tz pasipo kizuizi, lazima waje KIBAO. Ila customer service mbovu in Tz na fees /tariffs kubwa za mbuga za wanyama ndio zitatuangusha in the long run.
Andika kiswahili kinachoeleweka wewe!!... Sai ako vizuri ndio unataka kusema nini? 🤔Kuna youtuber flani mbongo anafanya reactions [emoji23][emoji23]
Juzi karudi na kusema ilikha anaugua lkn sai ako vizuri karudi ila bado ana matatizo ya kupumua..
Ila siwezi kumuanika hapa ila kw uzuri hakusema corona direct
Mimi nimepanda "Umulavumba" kwenye bustani yangu na umestawi ile mbaya, Kikohozi na mafua vikijipendekea tu, nachuma jani moja na kutafuna au natengezea mchuzi wake. Corona iko huko huko walikoitengeneza.☺️Watu wanahangaika bure tu dawa ya corona mpya ni Tango2+ limao2= kujifusha na kunywa juice yake
Endelea kuwaamini wanasiasaNi ass tu kama wewe wanaoamini TZ kuna corona!!
Huko biashara ya vumbi la congo mundende,alkasusu, inalipa SanaNi kweli Zanzibar wazungu Kama takataka vile.
Nani wa kumuamini mwanasiasa au mwanasayansiMUNGU ATULINDE 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏
Shindwa kwa jina la Yesu na la Muhammad, nchi sio mtu.Basis tumpe mikumi natano tuu, nasema uwongo ndg zangu?
Kipi cha kusaliti,fear of unknownWewe endelea kuwaamini wasaliti wa nchi yetu.