Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mpuuzi tu anaamini Corona inaweza kumbabaisha mtanzania wa awamu ya 5Wapumbavu tu ndio wanaamini hakuna covid 19 Tanzania
Inasemekana Watanzania hawawezi kupata corona kwa mujibu wa serikali yenu. Kuanzia Mei mwaka uliopita, hakuna Mtz aliyepata corona japo Wakenya walio na corona na majirani zenu walio na corona huwa wanakuja kuwatembelea. Hata hawa wazungu baadhi yao lazima wawe na corona ila kwa sababu Watanzania ni watu speshieli walio umbwa na udongo soft kushinda watu wengine basi nyinyi hamuwezi kupata corona kwa hivyo tulia usiogope.Ndio wanatuletea kirusi kipya cha Uingereza, hatarious sheet
Kabisa,kwao hali ni mbaya aisee.Wamekuja kupata afueni.
Mkuu kwani hapo ulipo Kuna Corona?Wapumbavu tu ndio wanaamini hakuna covid 19 Tanzania
Watu wanapenda uhuru na starehe. Mie sasa hivi nipo USA na maisha yanaendelea japo starehe ZOTE zimesimama. Hizo Hakuna. Watu wakijua wanawesa pata starehe Tz pasipo kizuizi, lazima waje KIBAO. Ila customer service mbovu in Tz na fees /tariffs kubwa za mbuga za wanyama ndio zitatuangusha in the long run.Dunia nzima inajua ukitaka kwenda kutalii bila ya bughudha ya kushurutishwa kuvaa barakoa au mikwala mingine mingi. Dunia inajua kuna nchi moja tu iko mashariki ya Afrika ndiyo haina hayo mafua. Nayo ni Tanzania.
NAOMBA UNITUMIE VIDEO YAKE PRIVATE MESSEGAKuna youtuber flani mbongo anafanya reactions [emoji23][emoji23]
Juzi karudi na kusema ilikha anaugua lkn sai ako vizuri karudi ila bado ana matatizo ya kupumua..
Ila siwezi kumuanika hapa ila kw uzuri hakusema corona direct
Vipi hapo ufipa, inaonekana mmeshakata tamaa.CCM kutoka kuwa chama cha ukombozi Afrika na chama cha mapinduzi ya umma Tanzania hadi kuwa chama cha propaganda.What a shame!
Siwezi muanika hata msemeje, humu ndani kuna wasiojulikana huenda wakammfungia channel kijana mwenzangu anayejipambania kimaishaHayo ni maradhi yake. Hata hapo kenya mnaumwa, lakini hamkuja Tanzania.
Aliekata tamaa ni yule kibaka wa wizi wa kura aliekimbilia Chato!Vipi hapo ufipa, inaonekana mmeshakata tamaa.
Nasikia Lisu ameacha kuvaa kanzu na baragashia siku za ijumaa huko ubelgiji. Hivi ni kweli?Aliekata tamaa ni yule kibaka wa wizi wa kura aliekimbilia Chato!