Watalii wanamiminika in the East Africa's Corona free state

Aisee!!Covid-19 ni sehemu ya fursa
Magufuli ana Mungu

Watanzania tulipokuwa tukiomba Mungu wengine walitucheka sasa ona Mungu hadhihakiwi

Zanzibar kuna watu matajiri toka waingie mwaka jana January hawajaachia vyumba ndio wanawaambia wenzie kimbieni corona huko mtakufa njooni free corona country

Arusha mahoteli kibao pia ina waters matajiri wakazi wa kudumu toka mwaka jana
 
Wivu wa nyang'au povu kafulie ngotha zako
 
Umesema kweli tupu mkuu.
 
Mi Niko hapaa USA river maisha na starehe Kama kawaida huko USA kwako mizinguo
 
Watu wanahangaika bure tu dawa ya corona mpya ni Tango2+ limao2= kujifusha na kunywa juice yake
 
Kuna youtuber flani mbongo anafanya reactions [emoji23][emoji23]
Juzi karudi na kusema ilikha anaugua lkn sai ako vizuri karudi ila bado ana matatizo ya kupumua..
Ila siwezi kumuanika hapa ila kw uzuri hakusema corona direct
Andika kiswahili kinachoeleweka wewe!!... Sai ako vizuri ndio unataka kusema nini? πŸ€”
 
Watu wanahangaika bure tu dawa ya corona mpya ni Tango2+ limao2= kujifusha na kunywa juice yake
Mimi nimepanda "Umulavumba" kwenye bustani yangu na umestawi ile mbaya, Kikohozi na mafua vikijipendekea tu, nachuma jani moja na kutafuna au natengezea mchuzi wake. Corona iko huko huko walikoitengeneza.☺️
 
Ni kweli Zanzibar wazungu Kama takataka vile.
 
MUNGU ATULINDE πŸ™ πŸ™ πŸ™ πŸ™ πŸ™ πŸ™ πŸ™ πŸ™ πŸ™ πŸ™ πŸ™ πŸ™ πŸ™ πŸ™ πŸ™ πŸ™ πŸ™ πŸ™ πŸ™ πŸ™
Nani wa kumuamini mwanasiasa au mwanasayansi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…