Watalii wanamiminika in the East Africa's Corona free state

Uzuri wa Mseven, haibi usiku, huu uchaguzi ataupora mchana kweupe, halafu atapanga wale wababe kutoka maraba mpaka mtukura, aseme mtu fyeee, aone!
 
Na akimaliza general mseven atafata general muhoozi,
Labda atokee mbabe mwingine afanye mapinduzi
 
Watangazie tu Dunia UKIINGIA TANZANIA TU CORONA INAPONA YENYEWE. Tutapata watalii mpaka tuchanganyikiwe.. 😃 😃 😃 😃
 
Mi Niko hapaa USA river maisha na starehe Kama kawaida huko USA kwako mizinguo
Nice. Kwa Tz moja ya makazi yangu yako momella road. Usa river naijua vizuri sana. Na drivers taxi wengi hapo stendi Mdungu, Peter, Yohana Imani nk nawapata sana. Ukiwaambia John Mmarekani wananipata sana 😂😂😂.

Yeah. Kila sehemu kwa hizi nchi za watu ni lazima uvae barakoa, na huduma nyingi zimesitishwa.
 
MK254 njoo ona huku number of tourist maana ripoti ya WTC ikiyoka msije sema oh utalii wa Tz ni vepe, .
 
Ila nilisikia ya kuwa tour operator wengi wa upande wa Zanzibar waki leta wagen huku bara nasikia wazenji ni wakorofi sanaa hawataki wenzao wa bara nao wanufaike ..maana nasikia huwa wana ulizia ata chenji
 
Nadhani watalii wanatafuta sehemu ambako hakuna vitisho vya maambukizi.
Waende bongo, watafurahia.
 
tanzani kweli ni covid free zone kutokana kwamba ukienda feri wale makonda na madreva wa mabasi yaendayo kivukoni bado wapo hawajawahi kupata ugonjwa, angalia wavuvi magogoni, nenda mbagara zakiemm nenda kariakoo machinga wako vile vile mwendo kasi ndio usiseme bado hatuna korona hadi siku hizi madreva wetu wameachwa kusingiziwa kuwa na coona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…