Watalii wapatao 1000 kutoka Ukraine wadaiwa kukwama Zanzibar

Watalii wapatao 1000 kutoka Ukraine wadaiwa kukwama Zanzibar

Nchi gani duniani mkimbizi anakaa hotelini kwa gharama za nchi hiyo. UN wachukuwe hawa watu kwenye kambi za wakimbizi. Hata Poland hawajaweka mtu hotel sisi hiyo hela tunatoa wapi?
Hebu tuacheni kujikomba kwa hawa watu
 
Wamekwama kwenye donor country.... Wacha wabaki tu tutawadumia... Ina maana Kwa sasa sio watalii tena ila ni wakimbizi
Kama kuna wenye proffessional zao waleteni bara tuwape kazi... Watuundie ndege zetu kama ile ya kwao iliyotunguliwa the biggest plane in the world Antonov the dream of Ukraine na neuclear power pia
 
Wazanzibar wajitolee kuwachukua majumbani mwao na huduma zipelekwe huko na EU kwa kupitia Serikali.
 
Nchi gani duniani mkimbizi anakaa hotelini kwa gharama za nchi hiyo. UN wachukuwe hawa watu kwenye kambi za wakimbizi. Hata Poland hawajaweka mtu hotel sisi hiyo hela tunatoa wapi?
Hebu tuacheni kujikomba kwa hawa watu
MWINYI kachemka, Sasa kuwapa mzigo wenye mahoteli kwa sheria ipi? Kama ni wakimbizi aongee na shirika la wakimbizi wawachukue kama walivyomchukua Lemma.
 
Kiukweli kama una akili unaenda hotelini unamchukua raia mmoja unaenda nae home unampa huduma zote tena kubwa kubwa, pakitulia akiondoka iko siku atakutumia nauli uende ili alipe wema uliomfanyia na hapo ndio gape la kutoboa kimaisha
Mkuu eb fanya mambo tupate connection nipo serious nipo tayari kuwasaidia mabinti kadha kutoka [emoji1255]
 
Izi fedha wanazogawana na JMT asilimia wapatayo Zenji ni nyingi mno hawajui watumiaje, hao watalii wanajifanya hawakujuwa kwao kitanuka? Ina maana hapa wana zaidi ya miezi 2? Wafunguliwe kambi za wakimbizi, sio hotel!
 
Rais wa Zanzibar Dr Mwinyi amesema watalii 900 kutoka Ukraine wamekwama Zanzibar kutokana na vita inayoendelea nchini kwao.

Watalii hao wameishiwa fedha hivyo wameiomba serikali iwasaidie makazi na tayari serikali imeshazungumza na wamiliki wa Hotel walizofikia waendelee kuwahifadhi, amesema Rais Mwinyi.

Source: ITV habari
Hongera Serikali SMZ

Gharama zikiwa kubwa wahamishieni hotel decent za bei kawaida wakae walale Wale vizuri itajenga image kubwa kwa Tanzania kama Zanzibar hotel bei nafuu chache waletwe bara SMZ ilipie .Bara hotel cheap nzuri ziko kibao Dar na Arusha
 
Rais wa Zanzibar Dr Mwinyi amesema watalii 900 kutoka Ukraine wamekwama Zanzibar kutokana na vita inayoendelea nchini kwao.

Watalii hao wameishiwa fedha hivyo wameiomba serikali iwasaidie makazi na tayari serikali imeshazungumza na wamiliki wa Hotel walizofikia waendelee kuwahifadhi, amesema Rais Mwinyi.

Source: ITV habari
Tuwawowe
 
Pole zao ila wapewe na kazi za kufanya walipwe kupitia wanachofanya kukaa tu hakusaidii bila shaka kuna wenye knowledg hapo kwa hiyo tuutumie kwaajili ya taifa maana hakuna Mlala hoi anaeweza kwenda kutalii
 
zanzibar hotel nzuri za bei nafuu chache nyingi za bei juu nashauri wahamishiwe hotel za Dar ,Arusha na morogoro kuna hotel standard kibao ila Serikali ya Zanzibar ndio iwagharimie
 
Back
Top Bottom