Zip features za failed State?
Sent using
Jamii Forums mobile app
Hakuna uelekeo.
Watawala ilimradi wanakula basi, wakifa wanawaweka watoto wao kundi la kula basi eg Kulikuwa na umuhimu gani wa kumteua mama Salima Kikwete akajae tu mjengoni as if kuna jambo kubwa sana la msing kwa nchi au Bulembo.
Kila mtu ameacha afanye ajuaavyo ilimradi asisumbue watawala e.g Machinga.
Vyuo ni kuteuana kula tu wala si kusaidia nchi.
Mpaka sasa hakuna chocgote ambacho tumefanikiwa kama taifa, tupo tupo tu.
Hata mishahara ya watumishi tunaunga unga tu, mpaka askari tumeshindwa kuwalipa vizuri, ila kwa kuwa tunajipendekeza kwao kwa vile tunawatumia kutulindia ugali wetu basi tunasema wapande BURE daladala ingawa hakuna utaratuibu wowote official umewekwa, ni ujinga tu maana makampuni ya daladala mwaisho wa siku tunawadai kodi wakati tunataka wasafirishe baadhi ya watu bure.
Mapato sasa kila mtu anakusanya ajuavyo maana zile za TRA zikishaenda mfuko mkuu basi huku nchini hazifiki tena, Mkuu wa nchi ndio anatembea anagawa akipenda.
Sasa kila mtu akitaka kuendesha mambo yake naye anakusanya awezavyo, TRA wanakusanya, NEMC, TFDA, TRAFFIC, TARURA, TCRA, Halmashauri n.k