Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Wakuu,
Hapa, watangazaji wa Crown FM wanadhihirisha jinsi ambavyo baadhi ya vyombo vya habari vimesahau wajibu wao wa msingi na kugeuka kuwa vyombo vya matumizi ya kisiasa.
Soma: Wasafi, Clouds na Kitenge ni matambara ya kudekia ya CCM, kusafisha matapishi na uchafu wote unaomwagwa mbele yao!
Wanapiga debe hewani kauli mbiu ya 'Mitano tena,' yakumpatia Rais Samia nafasi ya kuongoza hadi 2030. Hiii inaonyesha kupungua kwa uhuru na uwajibikaji wa vyombo vya habari katika demokrasia yetu. Jipu la uchawa linazidi kukua.
Hapa, watangazaji wa Crown FM wanadhihirisha jinsi ambavyo baadhi ya vyombo vya habari vimesahau wajibu wao wa msingi na kugeuka kuwa vyombo vya matumizi ya kisiasa.
Soma: Wasafi, Clouds na Kitenge ni matambara ya kudekia ya CCM, kusafisha matapishi na uchafu wote unaomwagwa mbele yao!
Wanapiga debe hewani kauli mbiu ya 'Mitano tena,' yakumpatia Rais Samia nafasi ya kuongoza hadi 2030. Hiii inaonyesha kupungua kwa uhuru na uwajibikaji wa vyombo vya habari katika demokrasia yetu. Jipu la uchawa linazidi kukua.