Pre GE2025 Watangazaji Crown FM wageuza kauli ya "Mitano Tena" pambio kwenye kipindi, kweli wataweza kukemea uovu hawa?

Pre GE2025 Watangazaji Crown FM wageuza kauli ya "Mitano Tena" pambio kwenye kipindi, kweli wataweza kukemea uovu hawa?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Wakuu,

Hapa, watangazaji wa Crown FM wanadhihirisha jinsi ambavyo baadhi ya vyombo vya habari vimesahau wajibu wao wa msingi na kugeuka kuwa vyombo vya matumizi ya kisiasa.

Soma: Wasafi, Clouds na Kitenge ni matambara ya kudekia ya CCM, kusafisha matapishi na uchafu wote unaomwagwa mbele yao!

Wanapiga debe hewani kauli mbiu ya 'Mitano tena,' yakumpatia Rais Samia nafasi ya kuongoza hadi 2030. Hiii inaonyesha kupungua kwa uhuru na uwajibikaji wa vyombo vya habari katika demokrasia yetu. Jipu la uchawa linazidi kukua.

 
Wakuu,

Hapa, watangazaji wa Crown FM wanadhihirisha jinsi ambavyo baadhi ya vyombo vya habari vimesahau wajibu wao wa msingi na kugeuka kuwa vyombo vya matumizi ya kisiasa.

Soma: Wasafi, Clouds na Kitenge ni matambara ya kudekia ya CCM, kusafisha matapishi na uchafu wote unaomwagwa mbele yao!

Wanapiga debe hewani kauli mbiu ya 'Mitano tena,' yakumpatia Rais Samia nafasi ya kuongoza hadi 2030. Hiii inaonyesha kupuView attachment 3216428ngua kwa uhuru na uwajibikaji wa vyombo vya habari katika demokrasia yetu. Jipu la uchawa linazidi kukua.
Na wangeimba no reforms no election, ungesemaje?

Tatizo mnapenda kusikia mnayoyapenda
 
Vipindi vya kusikiliza crown ni
Crown sport
The throne
Kasri la kikeke.

Clouds fm
Power breakfast
Sport extra

Efm
Genge

Wasafi FM
Good morning ( Kama power break fast hapatakuanna jambo la maana)

Radio one
Kumepambazuka
Habari nyepesi nyepesi😆

Radio free Africa
Mjini FM
Zote hizo nazo sikiliza ziko vzr vipindi vyote.
 
Back
Top Bottom