Pre GE2025 Watangazaji Crown FM wageuza kauli ya "Mitano Tena" pambio kwenye kipindi, kweli wataweza kukemea uovu hawa?

Pre GE2025 Watangazaji Crown FM wageuza kauli ya "Mitano Tena" pambio kwenye kipindi, kweli wataweza kukemea uovu hawa?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Viva crown FM vivaaa!
Wakuu,

Hapa, watangazaji wa Crown FM wanadhihirisha jinsi ambavyo baadhi ya vyombo vya habari vimesahau wajibu wao wa msingi na kugeuka kuwa vyombo vya matumizi ya kisiasa.

Soma: Wasafi, Clouds na Kitenge ni matambara ya kudekia ya CCM, kusafisha matapishi na uchafu wote unaomwagwa mbele yao!

Wanapiga debe hewani kauli mbiu ya 'Mitano tena,' yakumpatia Rais Samia nafasi ya kuongoza hadi 2030. Hiii inaonyesha kupungua kwa uhuru na uwajibikaji wa vyombo vya habari katika demokrasia yetu. Jipu la uchawa linazidi kukua.

 

Attachments

  • images (93).jpeg
    images (93).jpeg
    38.2 KB · Views: 2
  • IMG-20250128-WA0079.jpg
    IMG-20250128-WA0079.jpg
    79.3 KB · Views: 1
Back
Top Bottom