Islam siyo Dini ya Serikali wala ya Taifa letu. Ukiona TBC haikufai ondoka zako kwani lazima ufanye kazi TBC? Kwani wakati unaajiliwa hapo TBC uliajiliwa kwa sababu ya Dini yako au kwa sababu ya Taaluma yako? Hebu tuondoleeni ukilaza humu ndani. Taasisi za kiislam zipo nyingi sana, Kuna Radio Imani, Bakwata,Misikitini, Muslim foundation,N.k Waende huko wakaajiriwe hapo TBC hatuhitaji mavazi mengine tofauti na tuloyazoea ,Fuateni sheria za Taasisi husika hutaki sepa zako sio lazima uwepo TBC tupo wengine mtaani hatuna ajira na tunadigriiza utangazaji lakini tumekosa ajira hivyo kuondoka kwenu sisi tutapata ajira. Ondokeni haraka sana hapo ili tuje kuomba nafasi.