Tetesi: Watangazaji wa kike TBC wagoma baada ya kutakiwa kuvua Hijabu zao wakati wa kutangaza

Tetesi: Watangazaji wa kike TBC wagoma baada ya kutakiwa kuvua Hijabu zao wakati wa kutangaza

Maua mbona ni mapambo hata kwenye magar,majumban,skuls maofsin kama ulivosema yanapamba kwan yanaonyesha imani?
 
poleni mnaoangalia TBC. Mie niliifuta siku nyiiiingi hapa nyumbani kwangu
 
Wameyataka wenyewe, kujistiri hakuna mwezi maalum, mwanamke wa kiislam inatakiwa daily ufunike kichwa na kuvaa mavazi ya staha, sasa kama mlienda kazini vichwa wazi miezi yote mko hivyo, mnavaa vimini leo mbadilike gafla?! lazima mbaniwe muwe na utaratibu wa kuvaa hijab na vilemba hata mnapokwenda kwenye interviw ili waamue moja kujua wanachukua mtu wa aina gani kuepuka huu usumbufu sidhani kama wangekuajiri unavaa kilemba na hijab ingefika wakati uambiwe vua haya mavazi. Mliwaonesha mnaweza kuiuza TBC sasa wanataka mfanye hivyo.
 
Wameyataka wenyewe, kujistiri hakuna mwezi maalum, mwanamke wa kiislam inatakiwa daily ufunike kichwa na kuvaa mavazi ya staha, sasa kama mlienda kazini vichwa wazi miezi yote mko hivyo, mnavaa vimini leo mbadilike gafla?! lazima mbaniwe muwe na utaratibu wa kuvaa hijab na vilemba hata mnapokwenda kwenye interviw ili waamue moja kujua wanachukua mtu wa aina gani kuepuka huu usumbufu sidhani kama wangekuajiri unavaa kilemba na hijab ingefika wakati uambiwe vua haya mavazi. Mliwaonesha mnaweza kuiuza TBC sasa wanataka mfanye hivyo.
Hata mm ndo nmeshangaa wapgwe tu hata x maana hakuna namna watu tutaonaje vpaja vyeo sasa kwann aasianze kujistir huko nyuma
 
(NIMEIKUTA SEHEMU HII MWENYE UHAKIKA ATUJULISHE ZAIDI)

TAFADHALI KWA WAISLAM NA WAPENDA HAKI TUFUATILIE HILI KUJUA UHALISIA WAKE.

Kuna taarifa kua watangazaji wa kike Waislam wa TBC TV wamegoma baada ya uongozi kuwataka kuvua hijab wanapotangaza.

Ieleweke ya kuwa wengi wao hupenda kuvaa hijab hususan katika kipindi hiki cha mfungo wa Ramadhani. Taarifa zinadai kesho asubuhi kuna kikao kujua hatma yao.

TBC TV ni chombo kinachoendeshwa kwa kodi zinazotokana na wananchi wa Tanzania ambao Waislam ni sehemu ya walipa kodi.

Ikithibiti hivyo itaonesha ni namna gani nchi zetu zinakoelekea, asiyejisitiri anaheshimika na anaejisitiri anatakiwa kuvua sitara yake..
Inawezekana taratibu za TBC haziruhusu, halkadharika Jeshini wapo waislam safi lakini taratibu za hapo haziruhusu kuvaa hijab. Nafikiri kuna kitu Tanzania imeendelea kukijenga, hii tabia ya watu ya kutaka kujitofautisha kwa mambo ya kidini bila sababu za msingi sidhani haikubaliki, ina nia ya kutugawa, kikubwa kila mwenye dini yake ajue mipaka yake pia ajue mipaka ya wengine, TBC sio kituo cha kidini japo watu wake wana dini hivyo wakati wote kisimamie taratibu na miongozo bila kutetereka, walokole wengi wakisalimia huanza na Bwana Yesu asifiwe! hivi salamu hiyo ikitolewa wakati mtangazaji anaaaza kutangaza ataeleweka? Acheni mambo hayo Bwanaaa!!
 
(NIMEIKUTA SEHEMU HII MWENYE UHAKIKA ATUJULISHE ZAIDI)

TAFADHALI KWA WAISLAM NA WAPENDA HAKI TUFUATILIE HILI KUJUA UHALISIA WAKE.

Kuna taarifa kua watangazaji wa kike Waislam wa TBC TV wamegoma baada ya uongozi kuwataka kuvua hijab wanapotangaza.

Ieleweke ya kuwa wengi wao hupenda kuvaa hijab hususan katika kipindi hiki cha mfungo wa Ramadhani. Taarifa zinadai kesho asubuhi kuna kikao kujua hatma yao.

TBC TV ni chombo kinachoendeshwa kwa kodi zinazotokana na wananchi wa Tanzania ambao Waislam ni sehemu ya walipa kodi.

Ikithibiti hivyo itaonesha ni namna gani nchi zetu zinakoelekea, asiyejisitiri anaheshimika na anaejisitiri anatakiwa kuvua sitara yake..
kabla hamjaanza "kufokasi" kwenye tuvitu tudogo tunavo husiana na masuala ya kidini,boresheni kwanza hilo tv lenu ili muliongezee watazamaji.
 
(NIMEIKUTA SEHEMU HII MWENYE UHAKIKA ATUJULISHE ZAIDI)

TAFADHALI KWA WAISLAM NA WAPENDA HAKI TUFUATILIE HILI KUJUA UHALISIA WAKE.

Kuna taarifa kua watangazaji wa kike Waislam wa TBC TV wamegoma baada ya uongozi kuwataka kuvua hijab wanapotangaza.

Ieleweke ya kuwa wengi wao hupenda kuvaa hijab hususan katika kipindi hiki cha mfungo wa Ramadhani. Taarifa zinadai kesho asubuhi kuna kikao kujua hatma yao.

TBC TV ni chombo kinachoendeshwa kwa kodi zinazotokana na wananchi wa Tanzania ambao Waislam ni sehemu ya walipa kodi.

Ikithibiti hivyo itaonesha ni namna gani nchi zetu zinakoelekea, asiyejisitiri anaheshimika na anaejisitiri anatakiwa kuvua sitara yake..
Waislam hawalipi kodi kama waislam bali kama watanzania. Unapoenda kulipa kodi huulizwi dini yako bali tin tu. Acheni kukuza vitu vidogo
 
Hicho kituo kikifungwa ili kuokoa fedha na zikaenda kununua madawati ingekuwa sawa tuu
 
Hii inaoyesha kwamba nchi yetu ipo nyuma na hakuna human rights; wanatakiwa kushtaki serikari sio kikao, na walipwe fidia.
 
Majibu yako yanaonyesha umelimika sana! Labda nikukumbushe kitu, Taifa letu halikujengwa kwa misingi ya Dini, Ukabila nk - mambo ya Dini yawe confined Makanisani na Misikitini siyo mashuleni, kuna haja gani kutangaza Dini yako unapo kuwa shuleni kwa njia ya mavazi kwani majina hayatoshi kudhilisha Dini yako?

Mambo haya hayakuwepo siku za nyuma siku hizi yameshika kasi ya ajabu, mwanzo nilijaribu kutafuta sababu zenye mshiko nikashindwa, lakini baada ya kufanya kautafiti kidogo nikagundua hii ni njia moja wapo ya kutaka kutuma ujumbe kwa Watanzania ili tuanze kubaguana kwa misingi ya kidini na hii ni mbaya sana kwa kuwa inanzia shuleni primary na sekondary, mnawajenga watoto akili gani kisaikolojia - na kwa nini Serikali haija liona hili!!

Sisemi mambo ya kubuni - nenda shule ya Primary au Sekondary wakati wa mapumziko au wanakwenda lunch au nyumbani utakuta wasichana wa Dini fulani masaa yote wapo pamoja kwa nini?? Hawachanganyikani na wenzao hata kidogo,w nisijue Darasani wanakaa mkao upi yaani kama utengano huo unaendelea au la?

Hii ni hatari sana kwa umoja wa Taifa letu - chunguzeni ninacho kisema hapa - hali sio nzuri hata kidogo - the sooner we address utengano huu unaojengeka siku hadi siku the better . Nayasema haya kwa nia nzuri tu.
Hata BBC wadini sana, wamekaachia kale ka shost kanavaa hijab ...... Umefurahi?
 
Wangevaa kupitia ITV sawa kwa sababu ile ni ya binafsi.
Ila hii tibisii ni ya serikali inayoendeshwa kwa kodi zetu na kodi nyingine zinatokana na chair fire!
 
issue sio linafungwaje na wala sio issue ya kupendeza,kazi ya msingi ya hijab ni stara,kupendeza ni secondary function,kama ni kweli vazi hilo limekatazwa kuna hoja ya kujadili,lakini ni ngumu kidogo kujadili tetesi.
Umesema vyema broda..
 
Hata kama hiyo TV ingekuwa ya kanisa sioni I tatizo hapo mbona wanapendeza tu, mwangalie zuhura yunusu Wa BBC utaipenda tu TV, lakin wasiwe wale Wa kubakiza macho tu sijui wanaitwa nani ........
 
Utakuta mtu kavaa hijabu, huku chini suruali ya kubana, sijui ni kujistiri kwa aina gani.
 
Back
Top Bottom