Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Valencia- valenthiaTamka hivi majina ya timu hizi.
Ajax=Ayaks
Internazionale Milan=Intanasional Milano
Sevilla=Sevia
Burnley=Banli
Legia Warszaw=Lehia Vaso'o
Schalke 04=Shak (Nur fia)
Monchengladbach=Monshen'gladbak
Borussia Dortmund=Borushia Dotmund
Sporting Gijon=Sporting Hihon
Swansea=Swansii
Tottenham=Totenam
Anderlecht=Andalek
Brazil=Brasiil
Lazio=Lasio
Juventus=Huventus
Fulham=Fulam
Valencia=Valenshia
....................
Binafsi namuita binadamu tu sitaki shidaHuyu sijui huwa wanatamkaje "Wijnaldum"
[emoji124][emoji124][emoji3][emoji3]
Thanks . umesema kweli. Maana niliishi Worthing miaka 5.Unakuta mtangazaji Kwa kujiamini kabisa anatamka BALE(Kiswahili) badala ya beil. Au Lesesta(Leicester) badala ya kusema leista.
Leo nimemsikia mtangazaji gwiji wa michezo anatamka Brighton HoVE Kiswahili hove. Hii timu inaitwa Brighton & Hove(inatamkwa hov(u). Hii timu ipo mji unaitwa Brighton and Hove City mji uliopatikana Kwa kuunganisha mji wa Brighton na Hove.
Unakuta anasema "professional" yangu ni mwanasheria, pumbavu kabisa😅Unakuta mtangazaji Kwa kujiamini kabisa anatamka BALE(Kiswahili) badala ya beil. Au Lesesta(Leicester) badala ya kusema leista.
Leo nimemsikia mtangazaji gwiji wa michezo anatamka Brighton HoVE Kiswahili hove. Hii timu inaitwa Brighton & Hove(inatamkwa hov(u). Hii timu ipo mji unaitwa Brighton and Hove City mji uliopatikana Kwa kuunganisha mji wa Brighton na Hove.
Hao ni watalaam, huku bongo hizo mambo hakuna kutokana na kutojua lugha mbalimbaliHujaelewa nini kinazungumzwa hapa. Ushasasikia watangazaji wa Kiingereza wakitamka Jose Mourinho,Juan Mata au Thierry Henry? Wanatamka kwa jinsi inavyotamkwa kwa lugha za wahusika. Na hapa nazungumzia watangazaji si watu wa mtaani.
Sizungumzii accent, kutamka lesesta badala ya lesta sio accent.
Tena mkuu inanikera mno. Wazungu, Waarabu na Wahindi wanashindwa kutamka majina yetu hasa ya ASILI, badala ya sisi kuwalazimisha kutamka kama tunavoyatamka tunawafuata wao wayakoseapo na kiaandishi hivohivo. Mfano Idodomya kuitwa Dodoma!Hayo maneno ya maeneo ya ulaya na ugaibuni sio issue sana kwana hata wazungu wenyewe wakija kwetu maeneo yetu yanawashinda kutamka kinachoniudhi ni wale wanaoshindwa kutofautisha kati ya herufi L na R kwenye magari mathalani atatamka magali
Kinachoshindikana ni nino kuyarekebisha? Huu ni utumwa wa kifikra.Usishangae mkuu hata hao wenye majina hayo walikuja kwetu enzi hizo walishindwa kutamka majina ya maeneo yetu wakaharibu mpaka leo tunataja majina ambayo siyo asili yetu.
Mfano, Tabora, Njombe, Iringa, kwenye mito wameharibu na milima pia.
Turekebishe kwanza yale waliyotuharibia.Wafundisheni na hao Wazungu kutamka vizuri majina yetu ya Kibantu..
Kinachotushinda kurekebisha ni nini hasa? Au mpaka haohao waturekebishie!!!???Hiyo mizungu si ndio imetuletea Bagamoyo badala ya bwagamoyo na dodoma badala ya idodomiya? Rufiji badala ya Rupwiy
Mbona yetu ya asili hatuyafuatilii?Sawa kabisa mkuu. Watangazaji wetu hawajisumbui hata kufuatilia majina ya wachezaji na timu pia.
Hio Ni wayome mkuu!!Hio bold inatamkwaje?
Wapolish hutamka "W" kama "V".....huyo jamaa ni Mpolish Sawa na Lewandowski hutamkwa "Levandoski".Ni wahin adam
Koromije High SchoolUnafundisha shule gani mkuu,,
Atusaidie na huyu nae Krzysztof PiątekHuyu sijui huwa wanatamkaje "Wijnaldum"
[emoji124][emoji124][emoji3][emoji3]