Salange
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 680
- 644
Wanadamu. Tehe tehe teheheeeeHuyu sijui huwa wanatamkaje "Wijnaldum"
[emoji124][emoji124][emoji3][emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanadamu. Tehe tehe teheheeeeHuyu sijui huwa wanatamkaje "Wijnaldum"
[emoji124][emoji124][emoji3][emoji3]
Jamaa nakupa tuzo kwa kugundua hili tatzoMkuu Tanzania tunamatatizo mengi sana hilo nalo ni tatizo pia..
Darasa la kwanza mpaka la saba kiswahili mwanzo mwisho, ghafla tu unaanza form one kiingereza mwanzo mwisho hapo ndio mpaka unakua Professa lazima ukariri tu mwisho wa siku ukajibu mtihani.
Hii L na R ni janga la taifa. Naona kama wanafanya makusudi maana hata kimaandishi wanaandika hivyo. Hivi somo la mwandiko bado lipo kwenye shule za msingi?Hayo maneno ya maeneo ya ulaya na ugaibuni sio issue sana kwana hata wazungu wenyewe wakija kwetu maeneo yetu yanawashinda kutamka kinachoniudhi ni wale wanaoshindwa kutofautisha kati ya herufi L na R kwenye magari mathalani atatamka magali
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Majina mengine unajifunza kwa kusikiliza wenye majina yao. Mfano Hughes inatamkwa Hyuz sasa utasikia mtangazaji anatamka hugiz/hagiz/hagez
Merry=meliR na L ni janga. Mfano Liver na River mwenye tatizo la L na R hapa kumuelewa shida sana
uliishaambiwa watoa fursa hawaangalii vyeti, wanaangalia talent
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Merry=meli
Yule nasikia sio mtanzania wa asili...inakera sana hasa ukizingatia kuwa hawa watu wanapata nafasi ya kusikika na wengi...jana nimemsikia yule mtangazaji (mwandishi?) Baby Kabaya kwenye mazishi ya Mzee Mengi akisema...." ....Hizo ni makaburi za familia..." badala ya ..." hayo ni makaburi ya familia..". Wanaonikera zaidi ni wale waosema..Nyimbo hii..badala ya wimbo huu!
Huajiri mtu ambaye ni mahiri katika lugha husika. Kwa sisi Kiingereza sio lugha ngeni kiasi hicho.Ni matamshi tu. Hata watu kwenye Mataifa yenye maendeleo kama Wafaransa na Wajapani wanapata shida na Kiingereza sababu lugha zao zipo tofauti sana.
kinachoniudhi ni wale wanaoshindwa kutofautisha kati ya herufi L na R
Dingi hayo majina si yetu, hata wewe unayajua machache tena kwa kuunga unga. Jina la kijerumani, mtangazaji kijerumani hajui. Wao kwenye v wanatamka f, w wanatamka v.Unakuta mtangazaji Kwa kujiamini kabisa anatamka BALE(Kiswahili) badala ya beil. Au Lesesta(Leicester) badala ya kusema leista.
Leo nimemsikia mtangazaji gwiji wa michezo anatamka Brighton HoVE Kiswahili hove. Hii timu inaitwa Brighton & Hove(inatamkwa hov(u). Hii timu ipo mji unaitwa Brighton and Hove City mji uliopatikana Kwa kuunganisha mji wa Brighton na Hove.
Ukijilazimisha kutamka kama wao utakunya bureAnthony Martial unaskia mtu anatamka Anthony "Masho" badala ya Mar-see-al
De Gea= De Hea
Umeyaona ya Srilanka?[emoji1] [emoji1] [emoji1] Sasa si bora ya germany kuliko ya poland au turkey
Smart guy
Hahaa.. Linatamkwa LoliondoJina lako lenyewe linatamkwaje ni Rondo au Rirondo au Rorondo?[emoji13][emoji13]
Hapo nadhani kamaanisha kuwa hiyo u unaimezea unakuwa ni kama unasema hov!! Sasa ukiweka hyo u mwisho inakuwa hovu ambayo unakuwa umetamka kindengereko zaidi!!inatamkwa hov mabano u ?
bora aliyesema hove
ri rondoJina lako lenyewe linatamkwaje ni Rondo au Rirondo au Rorondo?[emoji13][emoji13]