Watani wa Jadi: Wanaume wa Dar vs wa Mikoani

Watani wa Jadi: Wanaume wa Dar vs wa Mikoani

Mkoani mbwa kichaa anajeruhi mtu mmoja au wawili baada ya hapo dakika 0 mbwa kwishinei,

Nasikitika mbwa kichaa kajeruhi watu 26 na wanaume wapo ni maajabu mengine haya yawakwe Guineas
Unafikiri Dar es salaam watu wanatembea na mapanga,majembe na mawe kama huko kwenu?
Ama kila mahali kuna mapori ambayo unaweza kukata gongo la kupambana na hatari kama hiyo?
Na hatari kama hiyo ikitokea ghafla kwenye mkusanyiko mkubwa wa watu ambao wako busy ni kawaida kudhuria wengi sababu hawana utayari.
Jiongeze ndugu.
 
Mkoani mbwa kichaa anajeruhi mtu mmoja au wawili baada ya hapo dakika 0 mbwa kwishinei,

Nasikitika mbwa kichaa kajeruhi watu 26 na wanaume wapo ni maajabu mengine haya yawakwe Guineas
Wa mikoani mnakuwa mmepata sababu ya kumgeuza kitoweo! Dar hatuli takataka kharam hizo!
 
ila mabinti wa mkoani mna ukienyeji flani ivi which i like it
 
ila mabinti wa mkoani mna ukienyeji flani ivi which i like it
 
Upi huo,nikazie[emoji851]
 
Back
Top Bottom