Shanily
JF-Expert Member
- Nov 4, 2024
- 856
- 1,662
Hivi jina la club yenu ni lipi!?, Young Africans ( Waafrika wadogo) au ni Yanga wale yange yange ndege 🤔.
Wichi izi wichi!?.
Kumbe swala la kuhama hama mara Rangi ya jezi, mara viwanja halijaanza Leo ni tangu enzi maana hata jina mlihama kutoka young Africans mpka Yanga.
Aliyesema uto wenye akili ni wawili hakukosea kbsaa, yaani mnabadilishiwa jina na mpo mnaona , hamuandamani!?.
Eti Wana Yanga au ndo ngeli iliwapiga Chenga mkaona isiwe tabu tuite Yan'g tu😂 Young ibakie kwenye karatasi.
Wichi izi wichi!?.
Kumbe swala la kuhama hama mara Rangi ya jezi, mara viwanja halijaanza Leo ni tangu enzi maana hata jina mlihama kutoka young Africans mpka Yanga.
Aliyesema uto wenye akili ni wawili hakukosea kbsaa, yaani mnabadilishiwa jina na mpo mnaona , hamuandamani!?.
Eti Wana Yanga au ndo ngeli iliwapiga Chenga mkaona isiwe tabu tuite Yan'g tu😂 Young ibakie kwenye karatasi.