Watani wameuziwa mbuzi kwenye kiroba😂

Watani wameuziwa mbuzi kwenye kiroba😂

we utakuwa ni shabiki maandazi hiyo simba imetokea young African au hujafatilia historia..?
unajua hata hilo jina young African lina maana gani..? halafu unajua young African ilishiriki kwa kiasi gani ktk kutetea uhuru wakati wa ukoloni..?
kuna watu mnafata mkumbo tu fatilieni historia ndo utakuja kuelewa kwanini hata huyo simba ni nyau kwa yanga!.

mweka mada nayeye kaweka hoja yakipuuzi hajui hata utashi wa lugha!
Hoja ni club yenu inaitwaje Yanga au young!?. Kwanini mnajiita Yanga na Sio young!?.
 
Hata haileti maana kwamba Young tafsiri yake ni Yanga,inaonekana timu iliongozwa na wasio na elimu
 
Hata haileti maana kwamba Young tafsiri yake ni Yanga,inaonekana timu iliongozwa na wasio na elimu
Halafu hata hawaelewi kwanini iliitwa Yanga badala ya Young.
 
IMG-20241207-WA0005.jpg
 
Hivi jina la club yenu ni lipi!?, Young Africans ( Waafrika wadogo) au ni Yanga wale yange yange ndege 🤔.
Wichi izi wichi!?.

Kumbe swala la kuhama hama mara Rangi ya jezi, mara viwanja halijaanza Leo ni tangu enzi maana hata jina mlihama kutoka young Africans mpka Yanga.

Aliyesema uto wenye akili ni wawili hakukosea kbsaa, yaani mnabadilishiwa jina na mpo mnaona , hamuandamani!?.

Eti Wana Yanga au ndo ngeli iliwapiga Chenga mkaona isiwe tabu tuite Yan'g tu😂 Young ibakie kwenye karatasi.
Rage ajengewe sanamu
 
Back
Top Bottom