Watani wameuziwa mbuzi kwenye kiroba😂

Watani wameuziwa mbuzi kwenye kiroba😂

Halafu muda mwingi unaweka emoj za kucheka cheka, pasipo na sababu za msingi! Vitoto vya 2000+ ni bure kabisa.
Thatha tuthicheke😂 kama mmeuziwa mbuzi kwenye kiroba watani.
Tupo na nyie mpka muhame ligi
 
Hivi jina la club yenu ni lipi!?, Young Africans ( Waafrika wadogo) au ni Yanga wale yange yange ndege 🤔.
Wichi izi wichi!?.

Kumbe swala la kuhama hama mara Rangi ya jezi, mara viwanja halijaanza Leo ni tangu enzi maana hata jina mlihama kutoka young Africans mpka Yanga.

Aliyesema uto wenye akili ni wawili hakukosea kbsaa, yaani mnabadilishiwa jina na mpo mnaona , hamuandamani!?.

Eti Wana Yanga au ndo ngeli iliwapiga Chenga mkaona isiwe tabu tuite Yan'g tu😂 Young ibakie kwenye karatasi.
Halafu wewe ndio umeanzisha thread kule MMU ukijifanya ni mwanamke!

Huu mwandiko na akili za kidwanzi hizi, zinaonesha ni kivulana fulani, tena utakuwa na akaunti iliyofungiwa.
 
Halafu wewe ndio umeanzisha tbreadvkule MMU ukijifanya ni mwanamke!

Huu mwandiko na akili za kidwanzi hizi, zinaonesha ni kivulana fulani, tena utakuwa na akaunti iliyofungiwa.
Sasa wapi pameandikwa mwanamke hawezi shabikia Mpira!?.
Kwa ukumbusho tupo karne ya 21
 
Mimi ni Yanga lakini kiukweli nawaobea wivu sana Simba walichagua jina la KISHUJAA SANA. Simba hata ifungwe au ikose kombe lakini itabaki kuwa ni HEROES. Ndio maana mtu anasifiwa anapopambana na Simba.

NA NDIO MAANA WACHEZAJI NA MASHABIKI WA SIMBA WANAJIAMINI SANA MUDA WOTE TOFAUTI NA YANGA
we utakuwa ni shabiki maandazi hiyo simba imetokea young African au hujafatilia historia..?
unajua hata hilo jina young African lina maana gani..? halafu unajua young African ilishiriki kwa kiasi gani ktk kutetea uhuru wakati wa ukoloni..?
kuna watu mnafata mkumbo tu fatilieni historia ndo utakuja kuelewa kwanini hata huyo simba ni nyau kwa yanga!.

mweka mada nayeye kaweka hoja yakipuuzi hajui hata utashi wa lugha!
 
Mbumbumbu kua na maarifa ni kazi sana..
Yapo shirikisho yakicheza na timu za kanisa na bendi za muziki wa dansi yameshacheza na Orchestra due maquis ikiongozwa na kikumbi mwanza mpango king kiki(rip) yakapelekewa moto mwisho wa siku mzee wa magoli ya penati akafunga Jini kisirani cheers kakua na kwasasa yanajiandaa kucheza na timu ya Padri(Fr)Constantine wa kigango cha mlungushi parokia ya Bugando Mwanza..
 
Sasa wapi pameandikwa mwanamke hawezi shabikia Mpira!?.
Kwa ukumbusho tupo karne ya 21
Kwa hiyo wewe ni mwanamke! Halafu hupendi kupewa hela ya kuhongwa mbele za watu siyo!!
 
BABA WA TAIFA MWALIMU NYERERE ALITUTAJIA MAADUI.

1. UMASIKINI
2.UJINGA.
3. MARADHI.

Akasema Hawa ni maadui wa kweli kweli katika hili Taifa.

LEO 2024 BAADA YA MIAKA 60 TUMEKUWA NA MAADUI WENGI ZAIDI.

2024 maadui wameongeseka Zaidi kuliko wale watatu wa 1961.

1.Umasikini na ufukara.
2.Ujinga na upumbavu.
3.Magonwa na Maradhi
4.Mmomonyoko wa Maadili.
ushoga, usagaji Kamali, sugar mamy, sugar Dady mashangazi
5 AJIRA
5. Rushwa na Upendelo

6. USimba na u yanga.
7. Mitandao ya kijamii Tiktok, x, nk
8. Manabii wa uongo na Mashehe Uchwara.
9. Ajali nyingi mno.
10. Gharama kubwa za maisha, ujenzi holela nk

MAMBO NI MENGI SANA VIJANA WA KITANZANIA WANAWAZA MAMBO YA HOVYO SANA SIMBA NA YANGA ZINATAWALA MIKEKA NK.

OKOENI TAIFA LENU LEO.
MKIFIKA MBINGUNI MTAHOJIWA NA MUNGU MLILIFANYIA NINI TAIFA LENU NIMEMALIZA.
 
we utakuwa ni shabiki maandazi hiyo simba imetokea young African au hujafatilia historia..?
unajua hata hilo jina young African lina maana gani..? halafu unajua young African ilishiriki kwa kiasi gani ktk kutetea uhuru wakati wa ukoloni..?
kuna watu mnafata mkumbo tu fatilieni historia ndo utakuja kuelewa kwanini hata huyo simba ni nyau kwa yanga!.

mweka mada nayeye kaweka hoja yakipuuzi hajui hata utashi wa lugha!
Ni kwanini hadi mtu ahadithiwe maana ya neno Young African, asilimia 98% ya watu hawajui maana ya Young African na hawajui maana ya YANGA.
Na mkaona haitoshi mkaona mtuite kabisa YANGA. Kama mlikosa majina ya wanyama mgetafuta hata miti, mbona kuna mimea ya maana sana tu kama vile Mpingo, majani ya washawasha au yale yanayosinyaa ukiyagusa au pilipili kichaa.
Wenzetu hata mtoto anayetambaa anajua nini maana ya Simba na anajua sifa zake. Mlishindwaje kutafuta majina ya maana yenye kutupa heshima na fahari kama wenzetu.

Jina la Kinyonge sana na limejaa ubabaishaji
 
Ni kwanini hadi mtu ahadithiwe maana ya neno Young African, asilimia 98% ya watu hawajui maana ya Young African na hawajui maana ya YANGA.
Na mkaona haitoshi mkaona mtuite kabisa YANGA. Kama mlikosa majina ya wanyama mgetafuta hata miti, mbona kuna mimea ya maana sana tu kama vile Mpingo, majani ya washawasha au yale yanayosinyaa ukiyagusa au pilipili kichaa.
Wenzetu hata mtoto anayetambaa anajua nini maana ya Simba na anajua sifa zake. Mlishindwaje kutafuta majina ya maana yenye kutupa heshima na fahari kama wenzetu.

Jina la Kinyonge sana na limejaa ubabaishaji
nyoko
 
Mimi ni Yanga lakini kiukweli nawaobea wivu sana Simba walichagua jina la KISHUJAA SANA. Simba hata ifungwe au ikose kombe lakini itabaki kuwa ni HEROES. Ndio maana mtu anasifiwa anapopambana na Simba.

NA NDIO MAANA WACHEZAJI NA MASHABIKI WA SIMBA WANAJIAMINI SANA MUDA WOTE TOFAUTI NA YANGA
Wewe ndo hujiamini ila sisi ambao tunaamini kama ubora na sio umaarufu wa jina tunatamba popote
 
Hoja haina mantiki
Hebu tupe maana halisi ya majina haya...

1. Dar Yanga Afrika (kwa kiswahili - kiingereza au kijerumani.

2. Dar Young Africans (kwa kiswahili - kireno au kizulu)

Hapo ndipo nitakuelewa kuwa upo sawa kupinga hoja ya mleta mada
 
Hebu tupe maana halisi ya majina haya...

1. Dar Yanga Afrika (kwa kiswahili - kiingereza au kijerumani.

2. Dar Young Africans (kwa kiswahili - kireno au kizulu)

Hapo ndipo nitakuelewa kuwa upo sawa kupinga hoja ya mleta mada
Umewagusa pabaya
 
Wewe ndo hujiamini ila sisi ambao tunaamini kama ubora na sio umaarufu wa jina tunatamba popote
Sasa Uto tangu lini mkawa na maoni katika club yenu!?, Vyovyote asemavyo Hersi sawa muhimu mnapata furaha bila kujua misingi ya nyumba yenu inabomolewa
 
Back
Top Bottom