Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu wewe ndio umeanzisha thread kule MMU ukijifanya ni mwanamke!Hivi jina la club yenu ni lipi!?, Young Africans ( Waafrika wadogo) au ni Yanga wale yange yange ndege 🤔.
Wichi izi wichi!?.
Kumbe swala la kuhama hama mara Rangi ya jezi, mara viwanja halijaanza Leo ni tangu enzi maana hata jina mlihama kutoka young Africans mpka Yanga.
Aliyesema uto wenye akili ni wawili hakukosea kbsaa, yaani mnabadilishiwa jina na mpo mnaona , hamuandamani!?.
Eti Wana Yanga au ndo ngeli iliwapiga Chenga mkaona isiwe tabu tuite Yan'g tu😂 Young ibakie kwenye karatasi.
Sasa wapi pameandikwa mwanamke hawezi shabikia Mpira!?.Halafu wewe ndio umeanzisha tbreadvkule MMU ukijifanya ni mwanamke!
Hivi huwa mnamaanisha nini kwa tabia hii enyi wanaume na wavulana?
Anataka awekewe kwenye bahasha kama fungu la kumi😁 Hata nauli ya daladala na bodaboda awe anawawekea madereva na makondakta kwenye bahasha rasmi.www.jamiiforums.com
Huu mwandiko na akili za kidwanzi hizi, zinaonesha ni kivulana fulani, tena utakuwa na akaunti iliyofungiwa.
we utakuwa ni shabiki maandazi hiyo simba imetokea young African au hujafatilia historia..?Mimi ni Yanga lakini kiukweli nawaobea wivu sana Simba walichagua jina la KISHUJAA SANA. Simba hata ifungwe au ikose kombe lakini itabaki kuwa ni HEROES. Ndio maana mtu anasifiwa anapopambana na Simba.
NA NDIO MAANA WACHEZAJI NA MASHABIKI WA SIMBA WANAJIAMINI SANA MUDA WOTE TOFAUTI NA YANGA
Bora umemuumbua.Halafu wewe ndio umeanzisha tbreadvkule MMU ukijifanya ni mwanamke!
Hivi huwa mnamaanisha nini kwa tabia hii enyi wanaume na wavulana?
Anataka awekewe kwenye bahasha kama fungu la kumi😁 Hata nauli ya daladala na bodaboda awe anawawekea madereva na makondakta kwenye bahasha rasmi.www.jamiiforums.com
Huu mwandiko na akili za kidwanzi hizi, zinaonesha ni kivulana fulani, tena utakuwa na akaunti iliyofungiwa.
Kwa hiyo wewe ni mwanamke! Halafu hupendi kupewa hela ya kuhongwa mbele za watu siyo!!Sasa wapi pameandikwa mwanamke hawezi shabikia Mpira!?.
Kwa ukumbusho tupo karne ya 21
Ni kwanini hadi mtu ahadithiwe maana ya neno Young African, asilimia 98% ya watu hawajui maana ya Young African na hawajui maana ya YANGA.we utakuwa ni shabiki maandazi hiyo simba imetokea young African au hujafatilia historia..?
unajua hata hilo jina young African lina maana gani..? halafu unajua young African ilishiriki kwa kiasi gani ktk kutetea uhuru wakati wa ukoloni..?
kuna watu mnafata mkumbo tu fatilieni historia ndo utakuja kuelewa kwanini hata huyo simba ni nyau kwa yanga!.
mweka mada nayeye kaweka hoja yakipuuzi hajui hata utashi wa lugha!
nyokoNi kwanini hadi mtu ahadithiwe maana ya neno Young African, asilimia 98% ya watu hawajui maana ya Young African na hawajui maana ya YANGA.
Na mkaona haitoshi mkaona mtuite kabisa YANGA. Kama mlikosa majina ya wanyama mgetafuta hata miti, mbona kuna mimea ya maana sana tu kama vile Mpingo, majani ya washawasha au yale yanayosinyaa ukiyagusa au pilipili kichaa.
Wenzetu hata mtoto anayetambaa anajua nini maana ya Simba na anajua sifa zake. Mlishindwaje kutafuta majina ya maana yenye kutupa heshima na fahari kama wenzetu.
Jina la Kinyonge sana na limejaa ubabaishaji
Wewe ndo hujiamini ila sisi ambao tunaamini kama ubora na sio umaarufu wa jina tunatamba popoteMimi ni Yanga lakini kiukweli nawaobea wivu sana Simba walichagua jina la KISHUJAA SANA. Simba hata ifungwe au ikose kombe lakini itabaki kuwa ni HEROES. Ndio maana mtu anasifiwa anapopambana na Simba.
NA NDIO MAANA WACHEZAJI NA MASHABIKI WA SIMBA WANAJIAMINI SANA MUDA WOTE TOFAUTI NA YANGA
Na hivi ndivyo tulivyo sisi YANGAnyoko
😀N
Na hivi ndivyo tulivyo sisi YANGA
Hebu tupe maana halisi ya majina haya...Hoja haina mantiki
Umewagusa pabayaHebu tupe maana halisi ya majina haya...
1. Dar Yanga Afrika (kwa kiswahili - kiingereza au kijerumani.
2. Dar Young Africans (kwa kiswahili - kireno au kizulu)
Hapo ndipo nitakuelewa kuwa upo sawa kupinga hoja ya mleta mada
Kwa huu uzi utawajua 🐸🐸vilaza ni kina nani na wale wenye akili ni wepi 🤣Umewagusa pabaya
Sasa Uto tangu lini mkawa na maoni katika club yenu!?, Vyovyote asemavyo Hersi sawa muhimu mnapata furaha bila kujua misingi ya nyumba yenu inabomolewaWewe ndo hujiamini ila sisi ambao tunaamini kama ubora na sio umaarufu wa jina tunatamba popote