Achana na wehu hao.Mko sahihi siwapingi sunderland,kumbe sanda hamjaanza leo,msimu jana kuna timu imetumia viwanja vitatu na hamsemi humu ndani,taifa,jamhuri moro na chamazi
Chai umekunywa lakini?Hivi jina la club yenu ni lipi!?, Young Africans ( Waafrika wadogo) au ni Yanga wale yange yange ndege 🤔.
Wichi izi wichi!?.
Kumbe swala la kuhama hama mara Rangi ya jezi, mara viwanja halijaanza Leo ni tangu enzi maana hata jina mlihama kutoka young Africans mpka Yanga.
Aliyesema uto wenye akili ni wawili hakukosea kbsaa, yaani mnabadilishiwa jina na mpo mnaona , hamuandamani!?.
Eti Wana Yanga au ndo ngeli iliwapiga Chenga mkaona isiwe tabu tuite Yan'g tu😂 Young ibakie kwenye karatasi.
Swadakta, kunywa Pepsi baridiiiiMimi ni Yanga lakini kiukweli nawaobea wivu sana Simba walichagua jina la KISHUJAA SANA. Simba hata ifungwe au ikose kombe lakini itabaki kuwa ni HEROES. Ndio maana mtu anasifiwa anapopambana na Simba.
NA NDIO MAANA WACHEZAJI NA MASHABIKI WA SIMBA WANAJIAMINI SANA MUDA WOTE TOFAUTI NA YANGA
Sie tulibadilisha jina mazima, sasa nyie mpo huku na huku. Yanga mpo young mpo, tuwaeleweje!??Mko sahihi siwapingi sunderland,kumbe sanda hamjaanza leo,msimu jana kuna timu imetumia viwanja vitatu na hamsemi humu ndani,taifa,jamhuri moro na chamazi
Au kwa kuwa bado uko kwa shemeji yakoUnaionaje utuazime zako ulizonazo!??
jamii forums mkiendelea kuruhusu mada za kitoto kama hizi kushamiri humu jukwaani, basi mtambue fika hamtakuwa tofauti na facebook.Hivi jina la club yenu ni lipi!?, Young Africans ( Waafrika wadogo) au ni Yanga wale yange yange ndege 🤔.
Wichi izi wichi!?.
Kumbe swala la kuhama hama mara Rangi ya jezi, mara viwanja halijaanza Leo ni tangu enzi maana hata jina mlihama kutoka young Africans mpka Yanga.
Aliyesema uto wenye akili ni wawili hakukosea kbsaa, yaani mnabadilishiwa jina na mpo mnaona , hamuandamani!?.
Eti Wana Yanga au ndo ngeli iliwapiga Chenga mkaona isiwe tabu tuite Yan'g tu😂 Young ibakie kwenye karatasi.
Halafu muda mwingi unaweka emoj za kucheka cheka, pasipo na sababu za msingi! Vitoto vya 2000+ ni bure kabisa.Kbsaa😂 ngeli mtihani kwa uto
Sasa wakikataza kutakuwa na maana gani ya utani wa jadi!?.jamii forums mkiendelea kuruhusu mada za kitoto kama hizi kushamiri humu jukwaani, basi mtambue fika hamtakuwa tofauti na facebook.
Ujitahidi sasa kutofautisha kati ya utani na utoto.Sasa wakikataza kutakuwa na maana gani ya utani wa jadi!?.