Watani zangu 'Wakubwa' Kabila la 'Wahaya' mpo tayari na mmeshajiandaa 'Kisaikolojia' Kuchukiwa na Mkemia?

Watani zangu 'Wakubwa' Kabila la 'Wahaya' mpo tayari na mmeshajiandaa 'Kisaikolojia' Kuchukiwa na Mkemia?

Lazima atakuwa amesha wamaindi. Kama tu tume ya uchaguzi inaweza kuamrishwa kutengeneza mapingamizi yasiyokuwa na kichwa wala miguu ili kuwawekea mizengwe na hata kuwaengua wapinzani kwa hila mbovu, basi jamaa hatashindwa kuiamuru NECTA iwadili wanafunzi hawa na wawekewe "marking scheme" yenye majibu ya hila ili tu apate kuwakomoa.
Ibilidi akiamua lake hashindiwi
 
Kitu kimoja ambacho nina uhakika atabadilika kutokana na uchaguzi huu ni kwamba ataachana na zile ndoto zake za alinacha za kuua upinzani na hivyo hii itasaidia kuwekeza hela zetu katika mambo yenye tija badala ya kuahangaika na ununuzi wa wabunge na madiwani na chaguzi ndogo kila kukicha. Hizo pesa zinaweza kusaidia kuboresha mazingira ya kusomea ya watoto wa 'wanyonge' au kupatikana kwa maji safi (kama kule jimbo la Mtama ambako wanaokoteza maji maporini).
Huyu jamaa hawezi kubadilika kamwe.
 
Wanafunzi waacha vipindi na kuanza kuukimbilia msafara wa mgombea urais wa JMT kupitia Chadema Mhe. Tundu Lissu. Wanafunzi hao walianza kuimba "Tundu Lissu!.. Tundu Lissu!.." Leo Septemba 23, 2020 Msafara huo ulikatiza katika shule hiyo ukielekea Muleba Kusini.

Official Bavicha Taifa

Mbona 'mtamkoma' Mkemia Wetu kwa 'Visasi' vyake. Mnajifanya 'Kutuiga' Sisi 'Mashujaa' na 'Wagumu' wa Mkoa wa Mara ( Musoma ) Kazi mnayo!
Hao wanafunzi waliokimbilia Lissu wamewaponza walimu wao. Wajiandae na vyeti vya kuzaliwa mababu zao.
 
Wenye Malori mjiandae na mtafute kazi zingine.

Barabarani mizigo mwisho Tani 15,

Mizigo mizito Zaidi ya Tani 15 lazima isafirishwe kwa reli.

Malori yatabaki kwenda MIKOA ya kusini ambako HAKUNA reli.
 
Na bado second half watakula msoto hadi wafanane na senene 😂😂
Na ndipo hapo wanapozidi kupotezwa kabisa na huo ugonjwa iko siku utafika kwa wajidhaniao ni wana wapendwa ndipo kilio na kusaga meno kitaposikika...
 
Waliobuni mfumo wa demokrasia waliona mbali kwa checks and balance. Mzee baba hata akirejea atabadilika sana either kuwa moderate ama kufanya maamuzi magumu kuwa katili zaidi. Alijikuza na wapambe ccm kumtukuza mno akajaa upepo kwamba yeye ni nabii fulani, yanayotokea kwa Lissu kwake ni tumbo la kuhara.
Bashiru na Polepole ndio waliokuwa wanamdanganya.

Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom