Watani zetu Tanzania hata kwa msiba mnabana matumizi, hamjaja tumuage Moi

Watani zetu Tanzania hata kwa msiba mnabana matumizi, hamjaja tumuage Moi

Dictator Moi hakuwa na mahusiano mazuri na nchi nyingine Africa he looked a sell out as he wasn't a Pan Africanist in such! Hata hao viongozi waliohudhuria wamekuja in the name of solidarity with a neighboring country. Pitia historia ujue kwanini Mandela aliwahi kupitia Kenya on transit na akakata kukutana na GoK officials!
 
Hehehe!! Halafu mumeingiwa na nini, nimesoma tena Tanga huko kuna mwingine kachana hicho kitabu, hamuoni kunajinsi mnakorogwa, maana wavaa kobaz hawajawahi kuwa na ugomvi na nyie, lakini kwa hili la kuchana vitabu vyao wataanza kuwawaza, na ikumbukwe kwenu huko wamesaili maelfu ya vijana, mjitafakari sana kujua wapi linatibukia na nini kipo nyuma ya pazia.
Saivi tumeanza kuwapeleka shule kwa lazima maana tulikuja kugundua kwamba ukosefu wa elimu ndio unawafanya wanakua wehu, na wakileta ujinga wa kuvaa mabomu dawa yaohua ni kuozea jela tu mkuu
 
Kuna thread nyingine hupaswi kuumiza kichwa kutokana na mjinga aliyeipost,
Haujaniangusha kwa sababu thread yako inawakilisha thinking capacity yako ndogo.
 
Yap aside kualikwa thing in Msiba hualikwi u come with ur own Intuition to bid farewell!
Wacha hasira 3 executive Presidents in attendance not a small feat regardless the fact they were invited! Mind u not everyone rank Moi highly!

Wish to know if ur big dad America sent a secretary! I am pretty sure Uhuru must have conveyed news of Moi demise in person when he met Trump at White House.
 
Wacha hasira 3 executive Presidents in attendance not a small feat regardless the fact they were invited! Mind u not everyone rank Moi highly!

Wish to know if ur big dad America sent a secretary! I am pretty sure Uhuru must have conveyed news of Moi demise in person when he met Trump at White House.
Nilikuambia dish lako limeyumba ukasema ni matusi, ona sasa unajinukuu na kupinga maoni yako kwenye comment ulioiandika wewe mwenyewe. [emoji1]
 
Back
Top Bottom