Watanionaje...? Itakulaza njaa

Nimekumbuka mbali sana....nilikuwa na deli langu la keki ghafla demu niliyemaliza naye sekondari akaniona...nilitamani nitupe deli Ila nikajikaza tu
Ila sasa mambo yamebadilika nimepiga hatua na wala simuwazi mtu tena kwa niliyoyapitia
😹😹😹 umenichekesha
 
😹😹😹 ana dhambi sana, alitaka kukubunja moyo.!!
Na kweli alifanikiwa maana ilibidi nibadili location kabisa....nikawa nauzia maeneo ya mbali...maana nahisi alienda kumwambia ex wangu kwakuwa alikuwa shoga yake
 
Na kweli alifanikiwa maana ilibidi nibadili location kabisa....nikawa nauzia maeneo ya mbali...maana nahisi alienda kumwambia ex wangu kwakuwa alikuwa shoga yake
😹😹😹 pole sana
 
Ushauri: Always do your best.

Mwanasaikolojia Babra wa Malekeni aliwahi fanya tafiti na kuja na majibu yafuatayo

"Watu wengi wanapofikisha miaka 40 au zaidi hugundua kuwa vitu walivyovifanya wakati wakiwa na miaka 18 na kuendelea kwa ajili ya kuimpress watu wanaowazunguka, watu hao hawakuwa wakivijali kabisa".

Mfano wa vitu hivyo ni kuvaa vitu vya thamani, kutumia simu za gharama, Magari makali, kuona aibu kufanya aina ya kazi, kujiunga na chama/kikundi flan.
 
Mimi wanangu nawafundisha kwamba nenda shule lakini isiwe mtumwa wa taaluma bali maarifa, jione umesoma Sana ukaanza kuchagua kazi ,wakati mimi ninanyundo, msumeno drill, randa na mavyeti kibao tu nimepaki huko ndani
Utakufa njaaaa
 
Na ukiwa mtu wakupenda kuonekana smart smart una phone Kali, alafu uwe mtu wa kununua Nguo latest ,
 
Vijana wanatakiwa wapate ushauriii sanaaa ili waelewe wanatakiwa kufanya nn !la sivyo wata angukia pua hovyo hovyo
 
Kwa maisha ya saivi hupaswii kumwonea aibu mtu yeyote zaidi ni kupambana bila kusikiliza kelele zao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…