Bonsipele69
JF-Expert Member
- Feb 19, 2023
- 364
- 915
- Thread starter
- #21
Box gan hzoMie ndugu, jamaa na marafiki wanajua ni bonge la boss kumbe nimejichimbia nabeba box huku mkoani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Box gan hzoMie ndugu, jamaa na marafiki wanajua ni bonge la boss kumbe nimejichimbia nabeba box huku mkoani.
😹😹😹 umenichekeshaNimekumbuka mbali sana....nilikuwa na deli langu la keki ghafla demu niliyemaliza naye sekondari akaniona...nilitamani nitupe deli Ila nikajikaza tu
Ila sasa mambo yamebadilika nimepiga hatua na wala simuwazi mtu tena kwa niliyoyapitia
Ni maisha tu...Ila now nawatambia status😹😹😹 umenichekesha
Malizia ikawaje baada ya kukutana naye 😹Ni maisha tu...Ila now nawatambia status
Aliuliza bei ya keki halafu hakununua akajichekesha akaondokaMalizia ikawaje baada ya kukutana naye 😹
mashostTatizo huko mbali na kwenu kwa wanawake tutafikia wapi
Hakunamashost
Tanzania nzima amna mkoa wenye mtu unaemfahamuHakuna
Ni hizi kazi za low calliber!Box gan hzo
😹😹😹 ana dhambi sana, alitaka kukubunja moyo.!!Aliuliza bei ya keki halafu hakununua akajichekesha akaondoka
Na kweli alifanikiwa maana ilibidi nibadili location kabisa....nikawa nauzia maeneo ya mbali...maana nahisi alienda kumwambia ex wangu kwakuwa alikuwa shoga yake😹😹😹 ana dhambi sana, alitaka kukubunja moyo.!!
😹😹😹 pole sanaNa kweli alifanikiwa maana ilibidi nibadili location kabisa....nikawa nauzia maeneo ya mbali...maana nahisi alienda kumwambia ex wangu kwakuwa alikuwa shoga yake
🙏🏿🙏🏿🙏🏿😹😹😹 pole sana
Nakazia nendeni mbali na kwenuNawashauri wale wenye Status nendeni mbali na kwenu ndio utajitafuta bila kuangalia pembeni watu wanasemaje
Vijana wanatakiwa wapate ushauriii sanaaa ili waelewe wanatakiwa kufanya nn !la sivyo wata angukia pua hovyo hovyoHabari za asubuhi familia.
Naandika nikiwa na uchungu sana moyoni lengo ni kuwaasa vijana wenzangu hii kitu Watanionaje ni roho ya shetani yenye lengo la kuzuia maendeleo hasa kwa vijana kuchukua hatua ya kuthubutu fursa mbalimbali zinazokuja mbele yao kwa sababu ya STATUS.
Naandika hili baada ya kumkumbuka swaiba angu mmoja hivi ambae kijijini kwao huko alisoma hadi form six umetusua na wanaamini ukiwa advance unalipwa mshahara hivyo kipindi cha likizo akiwa apeche alolo alikuwa anashindwa kulima vibarua kwa kuogopa watanionaje.
Nawashauri wale wenye Status nendeni mbali na kwenu ndio utajitafuta bila kuangalia pembeni watu wanasemaje.
Nawasilisha