Watanzani wasikuwa upande wa CDM ni Wajinga ndio manaa wanapenda Simba na Yanga

Watanzani wasikuwa upande wa CDM ni Wajinga ndio manaa wanapenda Simba na Yanga

Makupa

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2011
Posts
6,822
Reaction score
4,034
Kwa siku za hivi karibuni uongozi wa CDM na haswa Mr Lema na wanachama wao kwenye mitandao wamekuwa wakilaani kitendo cha Watanzani kuwa wafuasi wa timu za Simba na Yanga kuliko chama cha CDM.
Inashanga huyu lema hadi kutoa wazo kwa hizi timu zifutwe,mbaya zaidi na pale mashabiki wa hiki chama wanaona watanzania ni wajinga ndio maana wako na mapenzi ya kwa simba na yanga.
Swali la kujiuliza hivi hawa viongozi wanayo elimu ya kiasi gani hadi kuona watanzania ni wajinga?Mwenye CV ya Mzee mbowe na Lema ,tunaombeni mturushie hapa.
 
Kwa siku za hivi karibuni uongozi wa CDM na haswa Mr Lema na wanachama wao kwenye mitandao wamekuwa wakilaani kitendo cha Watanzani kuwa wafuasi wa timu za Simba na Yanga kuliko chama cha CDM.
Inashanga huyu lema hadi kutoa wazo kwa hizi timu zifutwe,mbaya zaidi na pale mashabiki wa hiki chama wanaona watanzania ni wajinga ndio maana wako na mapenzi ya kwa simba na yanga.
Swali la kujiuliza hivi hawa viongozi wanayo elimu ya kiasi gani hadi kuona watanzania ni wajinga?Mwenye CV ya Mzee mbowe na Lema ,tunaombeni mturushie hapa.
Yaani ndo umekua taahira kiasi hiki?
 
Kwa siku za hivi karibuni uongozi wa CDM na haswa Mr Lema na wanachama wao kwenye mitandao wamekuwa wakilaani kitendo cha Watanzani kuwa wafuasi wa timu za Simba na Yanga kuliko chama cha CDM.
Inashanga huyu lema hadi kutoa wazo kwa hizi timu zifutwe,mbaya zaidi na pale mashabiki wa hiki chama wanaona watanzania ni wajinga ndio maana wako na mapenzi ya kwa simba na yanga.
Swali la kujiuliza hivi hawa viongozi wanayo elimu ya kiasi gani hadi kuona watanzania ni wajinga?Mwenye CV ya Mzee mbowe na Lema ,tunaombeni mturushie hapa.
Mjinga wa kwanza ni wewe unayechukulia kila kitu kwa mitazamo ya kisiasa.
 
Kudhihirisha kwamba wewe ni mjinga, unaomba upewe CV ya Mbowe na Lema, kakuambia nani kwamba vyeti vya shuleni vinafaa chochote kwenye masuala ya kisiasa?.
 
Kudhihirisha kwamba wewe ni mjinga, unaomba upewe CV ya Mbowe na Lema, kakuambia nani kwamba vyeti vya shuleni vinafaa chochote kwenye masuala ya kisiasa?.
Haaaa,mkuu siasa ndio kila kitu ,utawezaji kutofautisha siasa na kuendesha nchi ? Ndio maana mnaitwaga ni Nyumbu wa SACCOS ya mzee Mbowe
 
Kama umesona na unaelewa lugha soma hapo we nyumbu👇How Tanzania’s strategic port is redefining regional logistics

Disadvantages

1. Congestion:
- The port often suffers from congestion, leading to delays in cargo handling and increased shipping costs.

2. Limited Capacity:
- Despite improvements, the port’s capacity may still be insufficient to handle growing trade volumes, particularly during peak seasons.

3. Infrastructure Challenges:
- While investments are being made, some areas, such as road and rail connections, remain underdeveloped, affecting the overall logistics network.

4. Political and Regulatory Issues:
- Bureaucratic inefficiencies and regulatory hurdles can complicate operations and discourage foreign investment.

5. Environmental Concerns:
- Increased shipping activity may lead to environmental degradation, impacting local communities and ecosystems.
 
Kwa siku za hivi karibuni uongozi wa CDM na haswa Mr Lema na wanachama wao kwenye mitandao wamekuwa wakilaani kitendo cha Watanzani kuwa wafuasi wa timu za Simba na Yanga kuliko chama cha CDM.
Inashanga huyu lema hadi kutoa wazo kwa hizi timu zifutwe,mbaya zaidi na pale mashabiki wa hiki chama wanaona watanzania ni wajinga ndio maana wako na mapenzi ya kwa simba na yanga.
Swali la kujiuliza hivi hawa viongozi wanayo elimu ya kiasi gani hadi kuona watanzania ni wajinga?Mwenye CV ya Mzee mbowe na Lema ,tunaombeni mturushie hapa.
Siasa na Dini ni Upumbavu... Siwezi kuwa sehemu ya Stupidity...
 
Disadvantages

1. Congestion:
- The port often suffers from congestion, leading to delays in cargo handling and increased shipping costs.

2. Limited Capacity:
- Despite improvements, the port’s capacity may still be insufficient to handle growing trade volumes, particularly during peak seasons.

3. Infrastructure Challenges:
- While investments are being made, some areas, such as road and rail connections, remain underdeveloped, affecting the overall logistics network.

4. Political and Regulatory Issues:
- Bureaucratic inefficiencies and regulatory hurdles can complicate operations and discourage foreign investment.

5. Environmental Concerns:
- Increased shipping activity may lead to environmental degradation, impacting local communities and ecosystems.
Mzee perfomance improvement ni kitu kinaweza fanyika ,tunaposema nyie ni Nyumba ni pamoja na kuona kila kitakachofanyika lazima kiwe perfect .POOR CDM members ,mnatia KINYAA
 
Kwa hiyo mimi ndio niliosema Simba na Yanga zifutwe?
Lema alivuta bangi miaka ya nyuma kichwa chake kimejaa moshi mbaya. Ni kwa sababu ya demokrasi tu lakini ni mtu mwenye mawazo ya kawaida mno yasiyo na hadhi ya kupewa kipaumbele.
 
Disadvantages

1. Congestion:
- The port often suffers from congestion, leading to delays in cargo handling and increased shipping costs.

2. Limited Capacity:
- Despite improvements, the port’s capacity may still be insufficient to handle growing trade volumes, particularly during peak seasons.

3. Infrastructure Challenges:
- While investments are being made, some areas, such as road and rail connections, remain underdeveloped, affecting the overall logistics network.

4. Political and Regulatory Issues:
- Bureaucratic inefficiencies and regulatory hurdles can complicate operations and discourage foreign investment.

5. Environmental Concerns:
- Increased shipping activity may lead to environmental degradation, impacting local communities and ecosystems.
Mzee perfomance improvement ni kitu kinaweza fanyika ,tunaposema nyie ni Nyumba ni pamoja na kuona kila kitakachofanyika lazima kiwe perfect .POOR CDM members ,mnatia KINYAA
Kila mtu Tanzania hii anaamini anayo haki ya kuongea na kusikilizwa, kwa wale wataalam wa sekta husika huwa wanasoma maoni na kuachana nayo hawajishughulishi kuumiza vichwa vyao kutaka kuzijibu hoja zao.
 
Kwa siku za hivi karibuni uongozi wa CDM na haswa Mr Lema na wanachama wao kwenye mitandao wamekuwa wakilaani kitendo cha Watanzani kuwa wafuasi wa timu za Simba na Yanga kuliko chama cha CDM.
Inashanga huyu lema hadi kutoa wazo kwa hizi timu zifutwe,mbaya zaidi na pale mashabiki wa hiki chama wanaona watanzania ni wajinga ndio maana wako na mapenzi ya kwa simba na yanga.
Swali la kujiuliza hivi hawa viongozi wanayo elimu ya kiasi gani hadi kuona watanzania ni wajinga?Mwenye CV ya Mzee mbowe na Lema ,tunaombeni mturushie hapa.
90% of tz citizens wanaiunga mkono chadema japo kwa Siri

Na sehemu pekee wanapo weza kulionyesha hili Ni kwenye sanduku la kura

Tatizo linakuja kwamba wahesabu kura na walinzi wa kura pamoja na watangazaji wa mshindi wa kura wakiwemo na waaposhaji wa mshindi wanalipwa na kulindwa na ccm

Huenda hapo ujinga wao ndipo unapo anzia
 
Kwa akili za Watanzania, kesho habari itakuwa simba na Yanga tuu 🗑️
 
90% of tz citizens wanaiunga mkono chadema japo kwa Siri

Na sehemu pekee wanapo weza kulionyesha hili Ni kwenye sanduku la kura

Tatizo linakuja kwamba wahesabu kura na walinzi wa kura pamoja na watangazaji wa mshindi wa kura wakiwemo na waaposhaji wa mshindi wanalipwa na kulindwa na ccm

Huenda hapo ujinga wao ndipo unapo anzia
Hee labda wachagga na tena wachagga wa machame ambao si wachagga halisi
 
Back
Top Bottom